Msaada juu ya hili penzi, ungekuwa wewe ungemjibuje?

Mwanaume unatumia neno nakupenda vibaya.

Too much attention kwa mwanamke ni dalili ya kupotea kwako.

Btw, amesha onesha makucha yake mwanzo kua kwamba anapenda kwa pesa. Shituka!
 
Huo uandishi wenu duuuh!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kweli tunatofautiana. At the age of 25 sikuwahi kuzama kenye mapenzi na msichana yoyote zaidi ya kupiga na kusepa. Yaani umri huo niliutumia kusoma, kujibrand kikazi na kujirusha inapobidi. Nilizama kwenye mapenzi nilipofikisha 30 na nikaoa kabisa
Safi
 
Wana Jeii eef mtuvumilie Sisi Student Tumeshafunga Shule tuko Nyumbani Tunatumia Simu za Dada wa Kazi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka km mwehuuuu, nimekumbuka mbali.
 
Morning

Tumeanza mahusiano hii week sasa lakini kashaomba hela mara tatu then leo ananiambia hvi, nimekosa cha kumjibu kabisa

Ungekuwa wewe ungemjibuje.

View attachment 2437203
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ Mafiyi
Ukiwekeza sana kwenye kuhudumia mapenzi wakati bado watafuta utapoteza vyote. Mpenzi na dira ya kutafta pia
 
Aisee,,kwahiyo huduma ndiyo sababu ya kuvulia chupi kila mwanaume!!!!!

Hii ni hatari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…