mkuu pata utelezi teleza nao alaf pita hiv amna mwnamke apo ukiondoa utelez..!!Morning
Tumeanza mahusiano hii week sasa lakini kashaomba hela mara tatu then leo ananiambia hvi, nimekosa cha kumjibu kabisa
Ungekuwa wewe ungemjibuje.
View attachment 2437203
Actually. Wanawake wengi wanajisahau wanafikiri wataendelea kungara mda wote kumbe mda unakwenda wanapoteza mvuto. Kwahiyo katika kipindi hicho wanaanza kujiona kama wametengwaAina hii ya mademu wanaotegemea ku survive kwa vibomu kutoka kwa wanaume wakizeeka maisha yamewachapa, wanaume wamewakimbia kwa sababu walikua wanapiga na kusepa ndo unakuta wamekaa barabarani na meza za ubuyu na karanga
Unabaki unajiuliza huyu miaka yote alikua wapi mpaka umri umeenda sana na anauza ubuyu na karanga,angeanza zamani hii biashara kipindi bado binti ana nguvu si angekua mbali
Huyo demu ni complete liability
Sema tuwaachie maisha yao it's none of our businessActually. Wanawake wengi wanajisahau wanafikiri wataendelea kungara mda wote kumbe mda unakwenda wanapoteza mvuto. Kwahiyo katika kipindi hicho wanaanza kujiona kama wametengwa
Ngoja tuwaachie Ila huwa wanatia huruma Sana katika kipindi hicho .Sema tuwaachie maisha yao it's none of our business
Nakwambia pita shwaaa. utakuja nishukuru baadae.[emoji23][emoji23][emoji23] ila mkuu kwa tako lake mimi nataka niweke ndani kabisa,kwa ndoa ya kanisani.pia ana akili sana