Unaamuaje wakati namba za gia hamnaButton ya MANU imewekwa kwenye gari automatic ili kumpa Dereva option ya kuendesha gari yake kama manual.
The minute ukipress hiyo button tayari wewe una kua una amua engagement ya gia.
Button ya MANU imewekwa kwenye gari automatic ili kumpa Dereva option ya kuendesha gari yake kama manual.
The minute ukipress hiyo button tayari wewe una kua una amua engagement ya gia.
Unaamuaje wakati namba za gia hamna
Wanazingua hao, najua gari ambazo zina double transmission. Huwa zina pande mbili.Hata mm nashangaa! Utashifti gia wakati hamna stick shift
Hapana, OD huwa iko ON muda wote ili kuruhusu gari kuingia kwenye gia ya juu kabisa pale mazingira yanaporuhusu. Kwenye dashboard huoni chochote. Iweke OFF, maandishi yatatokea kwenye dashboard O/D OFF, hivyo kuzuia gari isiingie kwenye gia ya mwisho. Kama gari ina gia 3, OD ON itaruhusu 'gia ya nne'.Umechanganya [emoji1] [emoji1]
Ningependa kusahihisha kidogo hapa. kwanza Cruise control ndio inatumika kama uko highway au unadhani njia iko straight unakwenda speed unayotaka halafu unabonyeza cruise control speed inakuwa fix ni mpaka ukanyage break inakuwa canceled. haitumiki ku overtake au milima sio sawa ni hatari zaidi unaweza kuwa huna control ila kama njia ndefu na hutaki kuwa unakanyaga mafuta umechoka unaweka cruise tu speed inakuwa automatic bila kukanyaga mafuta. Kuhusu Man ni kwamba gari nyingi model mpya zinakuwa na option ukitaka kwenda Man unaweza na gari nyingi ukienda Man utaona kwenye dash gear number na kubadili kunakuwa na + na - na ukichange utaona number mbele. L au D hizo ni automatic tu hugusi D ndio haswa drive ila L ikiwa barabara mbaya sana matope labda unaweka L inakuwa heavy. ukienda Man gari zingine utaona S katika gear hapo unaendesha kama Man plus na minus. Nadhani nitakuwa nimeweka mambo sawa tu. Ila Cruise control kwa Tz tabu kidogo maana 50/50 nyingi sana ila unaweza kutumia ni raha yako.ECT PWR - Haiongezi kasi wala nguvu ila husaidia ku adjust level za gia kulingana na mzigo unao bebwa na gari.
Inaishikilia gari kwenye gia ndogo lakini rpm kubwa.
Mfano unaendesha 120km/h kisha ukakutana na mlima mkali, ukibonyeza PWR engine itaongeza mzunguko kisha gari itarudi gia mbili nyuma na gari itamaintain msukumo ule ule ulikuja nao au chini kidogo ya pale.
NB :Matumizi ya hii button haina Madhara kwa gari.
Kwa MANU hii button inakupa uwezo wa kuendesha gari automatic kama manual mfano unaanzia kwenye L kisha una bonyeza MANU ina iloki gearbox kwenye hiyo gia,ikitembea itadai gia utapeleka kwenye 1,2, hadi D kulingana na aina ya mfumo wako.
Mfano ulikua unaendeshwa gari kwa 80km/h ukibonyeza hii button hata ukiachia mafuta gari itaendelea kua kwenye rpm hiyo hiyo.
Matumizi yake itumie ukiwa una overtake au unapanda vilima vikali.
Onyo:Ukiitumia MANU ovyo bila kujua Inatumikaje utaua engine yako.
Hasa hasa camshaft.
Ningependa kusahihisha kidogo hapa. kwanza Cruise control ndio inatumika kama uko highway au unadhani njia iko straight unakwenda speed unayotaka halafu unabonyeza cruise control speed inakuwa fix ni mpaka ukanyage break inakuwa canceled. haitumiki ku overtake au milima sio sawa ni hatari zaidi unaweza kuwa huna control ila kama njia ndefu na hutaki kuwa unakanyaga mafuta umechoka unaweka cruise tu speed inakuwa automatic bila kukanyaga mafuta. Kuhusu Man ni kwamba gari nyingi model mpya zinakuwa na option ukitaka kwenda Man unaweza na gari nyingi ukienda Man utaona kwenye dash gear number na kubadili kunakuwa na + na - na ukichange utaona number mbele. L au D hizo ni automatic tu hugusi D ndio haswa drive ila L ikiwa barabara mbaya sana matope labda unaweka L inakuwa heavy. ukienda Man gari zingine utaona S katika gear hapo unaendesha kama Man plus na minus. Nadhani nitakuwa nimeweka mambo sawa tu. Ila Cruise control kwa Tz tabu kidogo maana 50/50 nyingi sana ila unaweza kutumia ni raha yako.
Ukiangalia namna hiyo system ilivyo kuanzia chini kuna 1,2,3,D nyingine hua na L,2, 3,D etc unapo press MANU button ukiwa kwenye D gari utaendesha gari kama gari ya manual meaning gari haita jibadili gia hadi wewe ubadili.Sasa unaamua vp mkuu wakati gari iko kwenye D
System ya gari yako ikoje mkuuUnaamuaje wakati namba za gia hamna
Bado umechanganya mkuu. OD inapokuwa On maanake una Overdrive default settings za engine rotation per gear.Hapana, OD huwa iko ON muda wote ili kuruhusu gari kuingia kwenye gia ya juu kabisa pale mazingira yanaporuhusu. Kwenye dashboard huoni chochote. Iweke OFF, maandishi yatatokea kwenye dashboard O/D OFF, hivyo kuzuia gari isiingie kwenye gia ya mwisho. Kama gari ina gia 3, OD ON itaruhusu 'gia ya nne'.
Mbona ukitaka kuendesha gari ya automatic kama manual inawezekana sana bila ya hata hio Button ya Manual.Wanazingua hao, najua gari ambazo zina double transmission. Huwa zina pande mbili.
Ya kwanza hio ya kawaida then kuna upande wa pembeni wenye alama za + na -
Je, ni wakati gani gari itakuwa huru kuingiza gia ya mwisho kabisa na itakayosaidia kupunguza ulaji wa mafuta? OD ikiwa ON au OFF.Bado umechanganya mkuu. OD inapokuwa On maanake una Overdrive default settings za engine rotation per gear.
Na ikiwa ON maanake engine iwe ina rev zaidi kwenye each gear, haizuii kuingia gia ya mwisho.
Mfano ikiwa off, ukifika rpm 2000-2500 gia inachange, lakini ikiwa On utaona gia inachange labda kuanzia 3500-4500 rpm.
Hili suala la kurhusu gia halina ukweli wowote. OD inafanya kazi kama PWR. Gari za siku izi hukuti OD wanatumia PWR
Bado sijaelewa boss. Ina maana hizo 1 2 3 ndio namba za gear amaUkiangalia namna hiyo system ilivyo kuanzia chini kuna 1,2,3,D nyingine hua na L,2, 3,D etc unapo press MANU button ukiwa kwenye D gari utaendesha gari kama gari ya manual meaning gari haita jibadili gia hadi wewe ubadili.
Utatoka D utaenda 3,3-2,2-1 kama manual tu.
Umeelewa?!?!
View attachment 762552
Upo sahihi... Hapo unaanzia let say moja, gari ikitembea itadai gia unapeleka 2,tatu mpaka D.Bado sijaelewa boss. Ina maana hizo 1 2 3 ndio namba za gear ama
Kitu kimoja lazima uelewe, OD kazi yake sio kuzuia gia ya mwisho kuingia. OD sio kazi yake kufanya engine ipunguze kunywa mafuta. Hizi concept futa akilini mwako. Kazi ya OD ni kuiruhusu engine ku rev higher than normal. Nimetoa mfano hapo juu kuhusu ubadilikaji wa gia kutokana na rpm. OD ikiwa On ikiwa Off, kwa mfano engine rev limit ni 7000 rpm, ikifika 7000 rpm gia itabadilika lazima, kwa sababu ikiendelea kukaa kwenye same gear revving itavuka limit na ikivuka limit engine inakata kupeleka mafuta na itakuwa nonsense.Je, ni wakati gani gari itakuwa huru kuingiza gia ya mwisho kabisa na itakayosaidia kupunguza ulaji wa mafuta? OD ikiwa ON au OFF.
Okay chief. AhsanteUpo sahihi... Hapo unaanzia let say moja, gari ikitembea itadai gia unapeleka 2,tatu mpaka D.
Baadae utafanya change down D kwenda 3, tatu kurudi D Kama manual tu.
Umeelewa hapo chief?
Naendelea kujifunza kuhusu overdrive.Kitu kimoja lazima uelewe, OD kazi yake sio kuzuia gia ya mwisho kuingia. OD sio kazi yake kufanya engine ipunguze kunywa mafuta. Hizi concept futa akilini mwako. Kazi ya OD ni kuiruhusu engine ku rev higher than normal. Nimetoa mfano hapo juu kuhusu ubadilikaji wa gia kutokana na rpm. OD ikiwa On ikiwa Off, kwa mfano engine rev limit ni 7000 rpm, ikifika 7000 rpm gia itabadilika lazima, kwa sababu ikiendelea kukaa kwenye same gear revving itavuka limit na ikivuka limit engine inakata kupeleka mafuta na itakuwa nonsense.