Wazo la kabwela
JF-Expert Member
- Feb 13, 2013
- 1,812
- 1,373
ndugu wanajamvi naomba utaratibu wa kufuatilia mirathi kuanzia mwanzo kabisa
na jee kina kikomo cha kufungua mirathi mfano baada ya miaka kadhaa kama 10 .sasa je kuna mda maalum wa kufungua mirathi je usipofungua katika mda huo inafungwa??
na jee kina kikomo cha kufungua mirathi mfano baada ya miaka kadhaa kama 10 .sasa je kuna mda maalum wa kufungua mirathi je usipofungua katika mda huo inafungwa??