Msaada juu ya kufungua kampuni inayojihusisha na kutoa huduma mbali mbali (GENERAL DEALERS)

Msaada juu ya kufungua kampuni inayojihusisha na kutoa huduma mbali mbali (GENERAL DEALERS)

MEK_TZ

Senior Member
Joined
Apr 21, 2021
Posts
179
Reaction score
365
Wakuu Mungu katupa uzima tumeuanza mwaka salama ni jambo la kumshukuru.

Naomba nijikite kwenye mada nahitaji elimu juu ya kufungua kampuni inayo jihusisha na utoaji wa huduma mbali mbali kwenye jamii.

Nipo kwenye mchakato wa kufungua kampuni hiyo sina ujuzi wala elimu kuhusu uendeshaji wa kampuni.

Nina mzunguko wa watu wengi ambao wamekuwa wakinitumia kuwasaidia huduma mbali mbali kama kuwafatilia hati za viwanja vyao, kubadili majina ya kadi za magari, kuwaunganisha na watu mbali mbali ( viongozi wakubwa) huduma za kiafya, kutoa ushauri n.k.

Kutokana na kazi hizo nikapata wazo la kufungua kampuni ili niweze kuendeleza huduma kwa utaratibu unao fata sheria.

Je ni kiasi gani naweza kuanza nacho pia naomba kujua faida na hasara juu ya kuanzisha kampuni namna ya kuiendesha na mengine mengi yanayohusu undani wa kampuni za kutoa huduma kama hizi.

Asante wakuu.
 
Kama tayari una mzunguko wa watu kama ambvyo umesema nakushauri uanweza kwanza kufanya haya mambo hapa japowabongo hatupendi kunyooka lakini nyooka ujitofautishe na wengine

Usajili wa Kampuni

Jina la Kampuni
: Chagua jina linalovutia na linaloendana na huduma unazotoa.

Usajili Rasmi:

Sajili jina la kampuni yako kupitia BRELA.

Pata cheti cha usajili wa biashara.


Hakikisha unapata leseni ya biashara kutoka halmashauri ya eneo lako.

Kama unatoa huduma maalum (mfano: ushauri wa kisheria au huduma za kiafya), pata vibali vinavyotakiwa kwa sekta hiyo.

3. Mpango wa Biashara

Tengeneza mpango wa biashara rahisi unaoelezea:

Malengo ya biashara yako.

Huduma utakazotoa.

Gharama za kuanza na uendeshaji.

Namna ya kupata wateja.

5. Ofisi au Mahali pa Kufanyia Kazi

Pata mahali ambapo wateja wanaweza kufika kwa urahisi. Inaweza kuwa

Ofisi ndogo ya kupanga.


6. Vifaa vya Msingi

Kompyuta au laptop.

Simu ya biashara.

Printer/scanner kwa huduma kama kuchapisha au kufuatilia nyaraka.

Vifaa vya Ofisi:

Meza, viti, na rafu za kuhifadhia nyaraka.

Stationery (kalamu, faili, vitabu vya kumbukumbu).

7. Mfumo wa Mawasiliano

Unda kadi za biashara (business cards) kwa urahisi wa mawasiliano,fungua acoount insta, Jamii forum pia, na maeneo mengine ili kujitangaza

Ukihitaji msaada wa masuala ya usajili nicheki


 
Wakuu Mungu katupa uzima tumeuanza mwaka salama ni jambo la kumshukuru.

Naomba nijikite kwenye mada nahitaji elimu juu ya kufungua kampuni inayo jihusisha na utoaji wa huduma mbali mbali kwenye jamii.

Nipo kwenye mchakato wa kufungua kampuni hiyo sina ujuzi wala elimu kuhusu uendeshaji wa kampuni.

Nina mzunguko wa watu wengi ambao wamekuwa wakinitumia kuwasaidia huduma mbali mbali kama kuwafatilia hati za viwanja vyao, kubadili majina ya kadi za magari, kuwaunganisha na watu mbali mbali ( viongozi wakubwa) huduma za kiafya, kutoa ushauri n.k.

Kutokana na kazi hizo nikapata wazo la kufungua kampuni ili niweze kuendeleza huduma kwa utaratibu unao fata sheria.

Je ni kiasi gani naweza kuanza nacho pia naomba kujua faida na hasara juu ya kuanzisha kampuni namna ya kuiendesha na mengine mengi yanayohusu undani wa kampuni za kutoa huduma kama hizi.

Asante wakuu.

OFA KWA WANAOTAKA KUFUNGUA KAMPUNI NA WANAOMILIKI KAMPUNI AU BIASHARA YA AINA YOYOTE
Kampuni ya Moms Consulting imeamua kurudisha kwenye jamii kwa kutoa ofa eneo la usajili wa makampuni na biashara(Company and Business name registration) na Ushauri wa kodi(Tax consultancy),kuanzia 22-02-2025 hadi 31-03-2025 kwa kuzingatia vigezo na mashariti ya ofa kama ifutavyo
1.Kwa wateja wa huduma ya kusajili kampuni watapewa ofa za:
✅ Huduma ya bure ushauri wa kodi kwa kipindi cha miezi miwili (2)kuanzia pale usajili wa BRELA na TRA utakavyokamilika
✅Huduma ya bure uwasilishaji wa ritani za kikodi TRA (Tax return) kwa kipindi cha miezi miwili (2),kuanzia pale usajili wa kupata Cheti cha mlipakodi (TIN Certificate) utakapokamilika.
✅ Vilevile atapata ushauri wa bure wa kiuhasibu (Accounting) pamoja na mambo ya kufuata na kuziangatia kipindi chote cha biashara (Business requirements and compliances) kwa kipindi cha miezi miwili (2) kuanzia pale usajili wa BRELA na TRA utakapokamilika

2.Kwa wateja ambao kampuni au biashara zao tayari zimesajiliwa na wapo kwenye biashara kwa kipindi fulani au muda fulani pia kwa hawa tuna ofa za:
✅ Huduma ya bure ushauri wa kodi kwa kipindi cha miezi miwili (2) kuanzia tarehe ya chapisho la andiko hili.
✅ Huduma ya uwasilishaji wa ritani za kikodi (Tax returns) kwa gharama nafuu kwa muda wa miezi sita (6)
✅ Mteja atapata ushauri wa bure wa kiuhasibu (Accounting) pamoja na mambo ya kufuata na kuziangatia kipindi chote cha biashara (Business requirements and compliances) kwa kipindi cha miezi miwili (2) kuanzia tarehe ya chapisho la andiko hili.
✅ Vilevile mteja atapata huduma ya kuandaliwa hesabu za biashara (Financial statements) na huduma za kiukaguzi (Auditing of Financial statements) kwa kipindi hiki maususi kwa mujibu wa sheria inahitajika kuandaliwa hesabu za biashara za mwaka wa mapato uliyoisha 31-12-2024 ambapo hesabu zinatakiwa kuwasilishwa TRA kwa kipindi chochote kwa sasa kisichovuka 30/06/2025.

Kwa ushauri zaidi kuhusu huduma zetu wasiliana nasi kupitia:
Simu:0712685025/0783262125
Barua Pepe:momsconsultingltd@gmail.com

#Miongozo #kitaalamu #ukuaji #usalama #mafanikio #biashara#Momsconsulting#Consultant_Silwano
 
Back
Top Bottom