Msaada juu ya mtoto nimehangaika hospitalini bila mafanikiao

Msaada juu ya mtoto nimehangaika hospitalini bila mafanikiao

ndio anahalisha ila ameanza juzi

kuhusu kutapika ni hadi pale unapo

mlazimisha kula anakuwa kama anajitapisha maana hataki kula kabisa.

chanjo ya rota hajapata ila kwa mujibu wa kadi yake chanjo zote kapata
Shukrani sana kwa majibu Mkuu..

lakini Kuna kitu sijakuelewa hebu kiweke sawa..
Chanjo ya rota kapata au hajapata?

Maana umetoa majibu mawili kwa wakati mmoja..

choo anachoharisha kina mucus (Makamasi) au ni maji....
Kwahyo anatapika na kuharisha sio?

Na bado hujaniambia kama meno kaota na umechunguza fizi za juu na chini??

Kingine anatumia Chakula gani?
Formula? Au ni uji na maziwa ya mama yake au ni mchanganyiko?
 
Mtoto wako anahitaji dr bingwa wa watoto. Watanzania wengi akienda hospital mara mbili tayari anakata tamaa. Badilisha hospital, nenda za uhakika. Siku hizi kuna hospital nyingi sana za vichochoronina dr wasio na utaalam mzuri. Kama uko dr ulizia kuna madaktari wa watoto wanaosifika sana.
Ndio mkuu umenena vema,nchi inahitaji tujenge hospital hata mbili kwa ajili ya watoto tu ,nilibahatika kutembelea Nelson Mandela children hospital, niliyoyaona nilipotoka nje nililia sana,tumekwama wapi kama nchi?uwezo tunao sasa tatizo lipo wapi au kwa sababu watoto wa royal families wanatibiwa Ottawa?
 
Pole mkuu. Mtoto wangu nae alikuwa anasumbuliwa na homa , anakuwa wa motoo hadi wewe uliyembeba unahisi linakuzidia halafu joto lote hilo hatokwi jasho…ila akifanyiwa vipimo wanasema infection dawa hazimalizi tatizo. Daktari wa watoto akaniambia inabidi wamtibie Malaria japo kwenye vipimo haikuonekana. Nilimshangaa lakini mtoto alikuwa vizuri baada tu ya kuanza dozi.
 
Ndio mkuu umenena vema,nchi inahitaji tujenge hospital hata mbili kwa ajili ya watoto tu ,nilibahatika kutembelea Nelson Mandela children hospital, niliyoyaona nilipotoka nje nililia sana,tumekwama wapi kama nchi?uwezo tunao sasa tatizo lipo wapi au kwa sababu watoto wa royal families wanatibiwa Ottawa?
Mkuu watawala hawana habari. Kwani ni watoto wao wanaokufa? Wanaofiwa na watoto wao wamelala fofofo, wanadhani hawahusiki kwenye kuleta mabadiliko. Anyways, nisiwalaumu sana kwa sababu CCM ndiyo imewafanya hivyo kwa kuwanyima elimu sahihi.
 
Mkuu watawala hawana habari. Kwani ni watoto wao wanaokufa? Wanaofiwa na watoto wao wamelala fofofo, wanadhani hawahusiki kwenye kuleta mabadiliko. Anyways, nisiwalaumu sana kwa sababu CCM ndiyo imewafanya hivyo kwa kuwanyima elimu sahihi.
Exactly mkuu, why after more than 60yrs ya utawala wa serikali ya CCM hakuna hata children hospital 🏥 moja?,jibu wao watoto na wajukuu wao flu kidogo wapo india, UK, au netcare millpark, tatizo la huyu mwenzetu linahitaji doctor's walio specializes magonjwa ya watoto, as a country tulitakiwa tuwe nao hata kama ni moja tu
 
Mtoto wako anahitaji dr bingwa wa watoto. Watanzania wengi akienda hospital mara mbili tayari anakata tamaa. Badilisha hospital, nenda za uhakika. Siku hizi kuna hospital nyingi sana za vichochoronina dr wasio na utaalam mzuri. Kama uko dr ulizia kuna madaktari wa watoto wanaosifika sana.
Hawa Doctors wa watoto walitakiwa wawe na hospital maalum kwa ajili ya magonjwa ya watoto tu
 
Poleni na majukumu.

Mwanangu ana miaezi 8 jinsia ya kike amekuwa akisumbuliwa na joto kupanda hasa kichwani na kwenye tumbo. Nilimpeleka hospitali mara 3 hospitali tofauti tofauti lakini tatizo haliishi. Vipimo walivyokuwa wakichukuwa ::

MRDT
URINE
RBG
FBP

Dokta alisema ana maambukizi kwenye damu akaandikiwa dawa na sindano dawa yakuongeza dam
kiukweli amesha maliza lakini sioni mabadiliko mtoto amekuwa kishtuka usiku hataki kula wa kunywa uji hataki.

Naimani humu kuna wazazi kama mm naombezi mawazo yenu madokta karibuni #mzizimkavu karibu upite hata
Pole kwa mitihani ya mtoto. Ningependa kukushauri uangalie kwa upande wa pili. Rudi kwa muumba wako . Kama ww ni mkristo baci mpleke kwenye makanisa ya wacha mungu sio maomba mungu. Na kama imani yako ni kiisilamu baci tafuta sheikh aliebobea kwenye naombi ya "manamini" Sio atakaejigamba kumtibu mtoto. Inawezekana tiba ya hospitali ingefai kumtibu mtoto wako ila ww na uharaka wako umeghafilika kusahau kuanza kwa mungu .
Mtoto wa miezi minane hamna tiba mzuri isipokua kwa mungu....
 
Pole mkuu. Mtoto wangu nae alikuwa anasumbuliwa na homa , anakuwa wa motoo hadi wewe uliyembeba unahisi linakuzidia halafu joto lote hilo hatokwi jasho…ila akifanyiwa vipimo wanasema infection dawa hazimalizi tatizo. Daktari wa watoto akaniambia inabidi wamtibie Malaria japo kwenye vipimo haikuonekana. Nilimshangaa lakini mtoto alikuwa vizuri baada tu ya kuanza dozi.
samahani ulitibiwa hospitali gani daktari yupi nipe mwanga au hata dawa ulizo tumia msaada tafadhali sielewi cha kufanya
 
Poleni na majukumu.

Mwanangu ana miaezi 8 jinsia ya kike amekuwa akisumbuliwa na joto kupanda hasa kichwani na kwenye tumbo. Nilimpeleka hospitali mara 3 hospitali tofauti tofauti lakini tatizo haliishi. Vipimo walivyokuwa wakichukuwa ::

MRDT
URINE
RBG
FBP

Dokta alisema ana maambukizi kwenye damu akaandikiwa dawa na sindano dawa yakuongeza dam
kiukweli amesha maliza lakini sioni mabadiliko mtoto amekuwa kishtuka usiku hataki kula wa kunywa uji hataki.

Naimani humu kuna wazazi kama mm naombezi mawazo yenu madokta karibuni #mzizimkavu karibu upite hata
+255713306263 mtafute huyu Doctor
 
Poleni na majukumu.

Mwanangu ana miaezi 8 jinsia ya kike amekuwa akisumbuliwa na joto kupanda hasa kichwani na kwenye tumbo. Nilimpeleka hospitali mara 3 hospitali tofauti tofauti lakini tatizo haliishi. Vipimo walivyokuwa wakichukuwa ::

MRDT
URINE
RBG
FBP

Dokta alisema ana maambukizi kwenye damu akaandikiwa dawa na sindano dawa yakuongeza dam
kiukweli amesha maliza lakini sioni mabadiliko mtoto amekuwa kishtuka usiku hataki kula wa kunywa uji hataki.

Naimani humu kuna wazazi kama mm naombezi mawazo yenu madokta karibuni #mzizimkavu karibu upite hata
Huyo mtoto ni wa ngapi kwako?
 
Shukrani sana kwa majibu Mkuu..

lakini Kuna kitu sijakuelewa hebu kiweke sawa..
Chanjo ya rota kapata au hajapata?

Maana umetoa majibu mawili kwa wakati mmoja..

choo anachoharisha kina mucus (Makamasi) au ni maji....
Kwahyo anatapika na kuharisha sio?

Na bado hujaniambia kama meno kaota na umechunguza fizi za juu na chini??

Kingine anatumia Chakula gani?
Formula? Au ni uji na maziwa ya mama yake au ni mchanganyiko?
dokta chanjo ya rota hajapata kwa mujibu wa mama mtoto maana mm ni baba mtoto.
choo cha mtoto ni cha chenga chenga cha njano
mtoto hati kula kabisa kwa hiyo pale una mlazimisha anakuwa ataka kujitapisha

chakuja chake hasa ni uji lishe viazi mchanganyiko ndizi na ugali.

meno amesha ota ila mdomoni kuna utando mweupe
 
dokta chanjo ya rota hajapata kwa mujibu wa mama mtoto maana mm ni baba mtoto.
choo cha mtoto ni cha chenga chenga cha njano
mtoto hati kula kabisa kwa hiyo pale una mlazimisha anakuwa ataka kujitapisha

chakuja chake hasa ni uji lishe viazi mchanganyiko ndizi na ugali.

meno amesha ota ila mdomoni kuna utando mweupe
Ok Nakujibu PM
Maana naona umenichek huko..

Kama ana utando mweupe Mdomoni..
Probably ni Oral Candidiasis..
Na inaweza kuleta hizo effects zote za kutokula na kuwa restless na kulia lia pia..

How comes Dr alitemuattend hakuona hilo??
 
Pole sana mtoa mada, nahili pia nakuomba sana sana kalizingatie japo wataalamu tupo wengi na kila mmoja atakushauri kwa upeo/ujuzi wake.
Ninashokushauri ukienda huko hospitali waombe pia mtoto apimwe kipimo cha sickling test/ kipimo cha kubaini seli mundu. VERY IMPORTANT
 
Mtoto anaharisha?
Choo chake kikoje?
Ana tapika/alitapika?
Alipata chanjo ya rota?
Ana vipele?
Ana kohoa?
Hali ya meno vipi amekwisha kuota meno mchunguze kwenye fizi zake..
Chunguza utosi Wake Umebonyea au umekuja juu?
Tatizo hili limemuanza lini?

Kuna uwezekano mkubwa akawa na Septicemia , au Tooth Eruption...

Nenda hospitali ya Mkoa au kwa daktari Aliye karibu sio Tabibu kwa ajili ya uchunguzi na matibabu

ni hatari kukaa na mtoto anayeumwa wakati huo asiyekula..
Atapata Hypoglacemia (Pungukiwa sukari) inaweza kusababisha mengine muwaishe hospitali

Baada ya kuambiwa ana maambukizi kwenye damu alipewa Dawa gani??

CC: Baraka sheni
Angekuwa dokta tungemuuliza PITC status ya mgonjwa..? Naona hajaigusa kabisa kwenye maelezo yake.
Alafu tu screen na kama kwenye familia kuna hx ya SCD..?
 
Angekuwa dokta tungemuuliza PITC status ya mgonjwa..? Naona hajaigusa kabisa kwenye maelezo yake.
Alafu tu screen na kama kwenye familia kuna hx ya SCD..?
Hiyo.huwezi kumuuliza Hadharani 😀😀😀
Itapingana na Ethics na sheria..

Ila kwa maelezo atakuwa na oral Candidias
 
Back
Top Bottom