Naam, anahitaji private consultation huyo, kuna maelezo hayajitoshelezi kwa watu kumsaidia.Hiyo.huwezi kumuuliza Hadharani 😀😀😀
Itapingana na Ethics na sheria
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naam, anahitaji private consultation huyo, kuna maelezo hayajitoshelezi kwa watu kumsaidia.Hiyo.huwezi kumuuliza Hadharani 😀😀😀
Itapingana na Ethics na sheria
Yeah niko Naye PM na nahisi tutayamaliza huko..Naam, anahitaji private consultation huyo, kuna maelezo hayajitoshelezi kwa watu kumsaidia.
Ni kweli, lakini tambua kuwa ugonjwa wowote hata kama ni malaria inabidi iwe siri ya mgonjwa na mtoa huduma, hakuna magonjwa special yaliyotengwa kwaajili ya kuyawekea usiri. BTW kama vile anavyohitajika kutoa taarifa za magonjwa mengine hata PITC pia ni vyema kuitolea concern kwasababu ni namna tu ya kubaini tatizo ili mgonjwa awe na afya njemaHiyo.huwezi kumuuliza Hadharani 😀😀😀
Itapingana na Ethics na sheria..
Ila kwa maelezo atakuwa na oral Candidias
Shida inakuja wangapi wanaelewa??Ni kweli, lakini tambua kuwa ugonjwa wowote hata kama ni malaria inabidi iwe siri ya mgonjwa na mtoa huduma, hakuna magonjwa special yaliyotengwa kwaajili ya kuyawekea usiri. BTW kama vile anavyohitajika kutoa taarifa za magonjwa mengine hata PITC pia ni vyema kuitolea concern kwasababu ni namna tu ya kubaini tatizo ili mgonjwa awe na afya njema
Poleni na majukumu.
Mwanangu ana miaezi 8 jinsia ya kike amekuwa akisumbuliwa na joto kupanda hasa kichwani na kwenye tumbo. Nilimpeleka hospitali mara 3 hospitali tofauti tofauti lakini tatizo haliishi. Vipimo walivyokuwa wakichukuwa ::
MRDT
URINE
RBG
FBP
Dokta alisema ana maambukizi kwenye damu akaandikiwa dawa na sindano dawa yakuongeza dam
kiukweli amesha maliza lakini sioni mabadiliko mtoto amekuwa kishtuka usiku hataki kula wa kunywa uji hataki.
Naimani humu kuna wazazi kama mm naombezi mawazo yenu madokta karibuni #mzizimkavu karibu upite hata
watoto ni sensitive sana kwenye suala la afya mkuu....ni heri kurudisha dawa uliponunua kuliko madhara yatokee kwa mtoto....japo in most cases mtoto huwa hapati nafuu yoyote.Nje ya mada kidogo, Kuna dogo anaumwa hapa nimepewa dawa kwenye dispensary flan ya private ila baada ya kufika home nimegundua exipire date yake ni March 2024, yaani mwezi huu... Vp bado inaweza kutumika? au niirudishe maana nimepata hasira sana
Psychologist...Hivi ndio professional yake kiuhalisia
MashalahPsychologist...