Samwel Meleka
JF-Expert Member
- Oct 16, 2014
- 602
- 268
Wanajamvi kwa mwenye utambuzi juu ya hili, iko hivi Mke wangu ni mmilki wa duka la dawa muhimu za binadamu na amekua akiliendesha tangu mwaka 2009 sasa mwezi wa 11 mwaka huu aliomba mkopo bank ya posta tawi moja mwanza kiasi cha sh 10m akapewa na baada ya kupata hizo pesa zote akaongeza mtaji kwenye hili duka tarehe ya kuanza ikafika akarejesha rejesho la kwanza,
Sasa ghafla wamekuja baraza la famasi na kufunga maduka yote ya dawa ukiachilia famasi, sasa hapa anaanzia wapi maana ana mkopo bank na duka limefungwa je kuna uwezekano wa kuomba bank kusimamisha kwa muda kurejesha wakati anajipanga kutatua tatzo la duka lake,maana pia kadhamini nyumba yangu tafadhali mwenyekuelewa chochote karibu kwa mawazo yako.
Sasa ghafla wamekuja baraza la famasi na kufunga maduka yote ya dawa ukiachilia famasi, sasa hapa anaanzia wapi maana ana mkopo bank na duka limefungwa je kuna uwezekano wa kuomba bank kusimamisha kwa muda kurejesha wakati anajipanga kutatua tatzo la duka lake,maana pia kadhamini nyumba yangu tafadhali mwenyekuelewa chochote karibu kwa mawazo yako.