Anachomaanisha n kugegedanasijajua mtu anaposema tendo la ndoa anamaanisha nini hasa. maana baada ya kufunga ndoa kila mnalo fanya ni tendo la ndoa.. so kuna matendo mengi ya ndoa baada ya ndoa
Kuna madhara hani kupiga bao1 bila kuendelea? Mpaka siku nyingine
Fanya kadri ya uwezo wako mkuu. Hata hourly/daily inapendeza.Nimatumaini yangu mko wazima wa Afya
Wakuu naombeni ushauri juu ya hili
..Je? Mume na mke kitaalam wanatakiwa wafanye tendo la ndoa marangapi kwa wiki?
..Je? Kwahizo siku ambazo watakuwa wakifanya hilo tendo la ndoa mwanaume anatakiwa kupiga mabao mangapi na je? Kamaatakuwa anapiga moja nakuacha mpaka Siku nyingine kunamadhara gani?
Asanteni naomba kuwasilisha hoja yangu.
Hapa labda liwe la nguvu dk 30-45 na mwanamke apate multiple orgasms. Vinginevyo haipendezi mkuu.Kuna madhara hani kupiga bao1 bila kuendelea? Mpaka siku nyingine
Jamaa ni mgonjwa huyo na ana upungufu wa nguvu za kiume!!!Nadhani kama ni kweli umeoa basi kuna katatizo kwenye ndoa yako na usipolirekebisha mapema utaaibika mkuu. Kama weye ni mkristo unayeamini Biblia kuwa neno la Mungu, inasema hivi: Msinyimane, mwanamme hana amri juu ya mwili wake na vivyo hivyo mwanamke hana amri juu ya mwili wake. Tena anasema, msinyimane labda kama ni kwa faragha (Maombi/sala). Sasa, kama Mola aliyaona haya ndo maana akaweka angalizo hilo, wewe unasema pulizo moja tu ulale hadi kesho kutwa hii si halali. Je mwenzio akikuhitaji na sio siku ya ratiba uliyo mwekea, aende wapi?? Basi mnunulie mdoli uwe unamwekelea nayo iitwe siku ya mdoli.
Pulizo lenyewe la tumate tudoogo tu ka ya nge halafu umeshalala fofofooo kwa uchovu, angojee siku nyingine!! Huu ni uonevu. Huwezi sema ati umemfumania na Hboy wako au gate keeper.
Hahahahajaile ile siku uliyotoka kuoa, mkeo inabidi aukeshee mpaka itoe moshi, unajua kwanini kuna fungate? yaani mnatulia ka sehem maalumu tulivu, siku mbili mpaka wiki kwa wenye hiyo nafasi, huko ni kula, kupumzika na kubanduana mwanzo mwisho, pia mke mpya halali na chupi, wala wewe hulali na jinz sawa? ni vizuri ukamtia na mimba ndani ya wiki baada ya ndoa itapendeza zaidi
Wewe peke ako ndo umemjibu mwana wenginKama hilo bao moja umetumia dakika mbili tu ukakojoa na kumuacha mkeo na nyeege zake bila kufika kileleni, hapo madhara yapo tena ni makubwa mno. Ni kwamba atatafuta kidume cha kumkojoza aridhike.
Ila kama hilo bao moja unapiga mzigo nusu saa mpaka mkeo anakojoa mabao kadhaa na hatimae anasema "baba shomvi nimechoka " basi hapo hakuna tatizo.
Aidha, una umri gani mpaka upige goli moja tu? Una kisukari? Una upungufu wa nguvu za kiume??
Kupiga goli moja na kushindwa kurudua tendo ni dalili za upungufu wa nguvu za kiume, Mtafute mzizi mkavu haraka sana!!
Kama ni bao la penalti hapo haina madhara ila kama ni bao la kona aongeze juhudi aiseeanapiga moja nakuacha mpaka Siku nyingine
Kama atakuwa anapiga bao moja kama jogoo kisha anaacha huyo mke wake ataliwa na akina GuDume wa JF!!