Msaada juu ya tendo la ndoa

Msaada juu ya tendo la ndoa

MOLAM

Senior Member
Joined
Oct 12, 2013
Posts
141
Reaction score
20
Nimatumaini yangu mko wazima wa Afya
Wakuu naombeni ushauri juu ya hili
..Je? Mume na mke kitaalam wanatakiwa wafanye tendo la ndoa marangapi kwa wiki?
..Je? Kwahizo siku ambazo watakuwa wakifanya hilo tendo la ndoa mwanaume anatakiwa kupiga mabao mangapi na je? Kamaatakuwa anapiga moja nakuacha mpaka Siku nyingine kunamadhara gani?
Asanteni naomba kuwasilisha hoja yangu.
 
As more you practice as much you be stronger (mhitimu wa ras simba)
 
Mara baada ya ndoa kufungwa, matendo yote yanayoendelea yanakuwa ni ya ndoa, ni tendo gani haswa unalolikusudia katika mengi ambayo wanandoa wanafanya?
Kutombana
 
Nimatumaini yangu mko wazima wa Afya
Wakuu naombeni ushauri juu ya hili
..Je? Mume na mke kitaalam wanatakiwa wafanye tendo la ndoa marangapi kwa wiki?
..Je? Kwahizo siku ambazo watakuwa wakifanya hilo tendo la ndoa mwanaume anatakiwa kupiga mabao mangapi na je? Kamaatakuwa anapiga moja nakuacha mpaka Siku nyingine kunamadhara gani?
Asanteni naomba kuwasilisha hoja yangu.
Umeoa ama unataka kuoa.
 
Nimatumaini yangu mko wazima wa Afya
Wakuu naombeni ushauri juu ya hili
..Je? Mume na mke kitaalam wanatakiwa wafanye tendo la ndoa marangapi kwa wiki?
..Je? Kwahizo siku ambazo watakuwa wakifanya hilo tendo la ndoa mwanaume anatakiwa kupiga mabao mangapi na je? Kamaatakuwa anapiga moja nakuacha mpaka Siku nyingine kunamadhara gani?
Asanteni naomba kuwasilisha hoja yangu.
Teh teh teh. Huyu atakuwa ni mwanaume wa Darisalama huyu si bure
 
Tendo la ndoa aka kugegedana ni.suala la utayari wa kiasaikolojia, halina formula wala ratiba, ukijisikia tu kula fanya hivyo na mwenzio awe tayari. Ukiweka ratiba unampa mwanya wa kutumia vizuri ratiba hiyo kwenda kugegedwa nje. Shtukiza tu
Kuna madhara hani kupiga bao1 bila kuendelea? Mpaka siku nyingine
 
Uzuzu huo hakuna andiko lolote kwenye dini wala serikalin, hiyo ni private issue : ni maamuz ya wanandoa wenyew, na unakoenda utauliza hata style shame on you
 
Nimatumaini yangu mko wazima wa Afya
Wakuu naombeni ushauri juu ya hili
..Je? Mume na mke kitaalam wanatakiwa wafanye tendo la ndoa marangapi kwa wiki?
..Je? Kwahizo siku ambazo watakuwa wakifanya hilo tendo la ndoa mwanaume anatakiwa kupiga mabao mangapi na je? Kamaatakuwa anapiga moja nakuacha mpaka Siku nyingine kunamadhara gani?
Asanteni naomba kuwasilisha hoja yangu.
Gonga kadri uwezavyo.......isipokuwa tuu siku ambazo mama ana vuja na siku za danger(kama hamko tayari kupata mtoto kwa kipindi hicho)........Ila hii si sheria unaweza tumia mbinu mbadala(condoms etc)
 
Ama kweli ndio maana ndoa zinavunjika kila cku,unaweza kuwa kichwa cha familia kweli km hd ratiba za sex unauuliza JF?
 
Haya walio na uzoefu wa hiyo sekta jibuni
 
Kuna madhara hani kupiga bao1 bila kuendelea? Mpaka siku nyingine
Bao moja huo ni udhaifu kwa ujumla umeshindwa kumla mke wako vizuri usije kulaumu watu wakikusaidia
 
ile ile siku uliyotoka kuoa, mkeo inabidi aukeshee mpaka itoe moshi, unajua kwanini kuna fungate? yaani mnatulia ka sehem maalumu tulivu, siku mbili mpaka wiki kwa wenye hiyo nafasi, huko ni kula, kupumzika na kubanduana mwanzo mwisho, pia mke mpya halali na chupi, wala wewe hulali na jinz sawa? ni vizuri ukamtia na mimba ndani ya wiki baada ya ndoa itapendeza zaidi
 
Kuna madhara hani kupiga bao1 bila kuendelea? Mpaka siku nyingine
Kama hilo bao moja umetumia dakika mbili tu ukakojoa na kumuacha mkeo na nyeege zake bila kufika kileleni, hapo madhara yapo tena ni makubwa mno. Ni kwamba atatafuta kidume cha kumkojoza aridhike.

Ila kama hilo bao moja unapiga mzigo nusu saa mpaka mkeo anakojoa mabao kadhaa na hatimae anasema "baba shomvi nimechoka " basi hapo hakuna tatizo.

Aidha, una umri gani mpaka upige goli moja tu? Una kisukari? Una upungufu wa nguvu za kiume??

Kupiga goli moja na kushindwa kurudua tendo ni dalili za upungufu wa nguvu za kiume, Mtafute mzizi mkavu haraka sana!!
 
Back
Top Bottom