Msaada juu ya uke wa mke wangu

bishankara

Senior Member
Joined
Feb 21, 2012
Posts
140
Reaction score
8
Kila nikikutana kimwili na mke wangu analalamika sana maumivu. Huwa nachukua muda mrefu wa kumuandaa lakn huwa haisaidii. Naomba msaada juu ya kilainishi gani kinachoweza kuongeza utelezi na ulainishi wa uke ili na sisi tulifaidi penzi letu? Naomba msaada wenu.
 
pole mkuu...nadhani kuchukua muda mref si hoja, hoja ni unamuandaaje..unaweza jarbu pia kutumia mafuta ya olive oil ama mengne ambayo yatakusaidia kulainisha endapo unamuandaa kwa utaratbu mzur na ikashndkana.
 
Kuna mafuta fulani hivi yanitwa KY ni mazuri ila siku hizi watu wanayatumia kwa njia isiyopasa so haukawii kwenda kuyanunua ukaanza kuangaliwa kwa mashaka mashaka...
 
KY JERRY



Inawezakuwa msaada kwako Mkuu.
 
unaweza ukawa unamuandaa vizuri.....lakini......je wewe......unajiwakilisha vipi.....?.....binafsi mimi kama hunukii vizuri utakaa sana........
 
cha kukusaidia unajua sperms zikiwa ndani zinaongeza size ya penis jitahidi bao la kwanza na la pili ukojoe nje kabla ya kumuingia ukibahatka la tatu zama kabisa ndani ..else tumia dawa ya kimasai ya mkunyati inapunguza size ya machine anachoskia sio maumivu sababu ya saizi ya machine ila mashine yako ikiwa sawa na ya kwakwe raha tu ndio maana wajanja wanaona heri size ya uke iwe kubwa kuliko shamdede mkuu maana kuupunguza uhsmadede inachukua siku kidogo
 
unaweza ukawa unamuandaa vizuri.....lakini......je wewe......unajiwakilisha vipi.....?.....binafsi mimi kama hunukii vizuri utakaa sana........

hhhhhhhhhaaaa!! preta umeua.
 
Asanteni sana wapendwa. Naomba kuuliza kidogo, kati ya KY JELLY NA OLIVE OIL yapi bora zaidi kwa suala langu? Na je hayo mazuri yanapatikana wapi kwenye maduka ya vipodozi au maduka ya madawa?
 
kuna post niliiona ya mtu yeye yake inalowana mno, haiwi taiti.jaribu kuitafutahiyo post labda utapata ufumbuzi
 
Asanteni sana wapendwa. Naomba kuuliza kidogo, kati ya KY JELLY NA OLIVE OIL yapi bora zaidi kwa suala langu? Na je hayo mazuri yanapatikana wapi kwenye maduka ya vipodozi au maduka ya madawa?

Ky hata ukitaka kuingiza na miguu yote miwili unaingia bila kikwazo....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…