Msaada juu ya uke wa mke wangu

Msaada juu ya uke wa mke wangu

Kila nikikutana kimwili na mke wangu analalamika sana maumivu. Huwa nachukua muda mrefu wa kumuandaa lakn huwa haisaidii. Naomba msaada juu ya kilainishi gani kinachoweza kuongeza utelezi na ulainishi wa uke ili na sisi tulifaidi penzi letu? Naomba msaada wenu.

madaktari bingwa WA magonjwa ya wanawake watakusaidia zaidi, mambo ya jelly yatakunyima uhuru WA kutafuna Mali zako kwa raha. Ushawaona?
 
Mkuu.@bishankara Mpakaze Mke wako sehemu za siri hayo mafuta ya Zaituni (Olive Oil) sio ky jelly . Kama alivyosema mkuu.@Howt Lady hayo mafuta yatasaidia uke wa mke wako kuwa laini na utafurahia tendo la ndoa. Tumia kisha uje hapa utupe feedback thanks.
 
Jaribu hii KY aina ya Silk E hii itawasaidia sana.
 
Asante sana wadau kwa ushauri wenu na maoni yenu kwa ujumla.
 
Usitumie KY...sio nzuri. Koz ni kwaajili ya kuzalishia..kuongezea uke njia. Hivyo ni mbaya sana na hutakiw kabisa kutumia.

Tumia hizo Pussy Whip na hiyo Dulexx...Nakiete zinapatikana kwa sh. 13elfu tu

KY inatumika kuzalishia?! kuongezea uke njia?! Umeitoa wapi hii?!

Kuna wakati kama hujui kitu bora kunyamaza tu!

Inunue kisha soma uses zake!
 
Mkuu unaweza ukawa unamuanda phsyically, kisaikolojia je? Maana kama saikoloji yake inakua haipo hapo kwenye tendo (perhaps pengine alipata Post traumatic disorder) utakua unamuumiza tu bila kufaidi tendo. Anways nakushauri muende kwa Gynaecology aweze kuwapa ushauri wa ki taalam zaidi.
 
Ni aje Mamndenyi!? It is slippery when wet 🙂🙂..... Silk E is the best KY product out there but it is rarely available in our beloved country....swali lingine!?



BAC mmmmh!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom