Msaada: Kachoma sindano hatembei wiki ya tatu sasa

Pole sana aisee.

Hivi kuna hospitals za mtaani na za msituni?

Maana kila mtu analaumu mahali zilipo hospitals as if kuna vyuo vinafundisha madaktari/manesi kwa ajili ya hizo hospitals za mtaani.

Sijui mkuu lakini alienda dispensary ya serikali, ndio maana baadae waka mpa referal
 
Kuna nerve inaitwa sciatic imechomwa hapo , km ipo injured sana itamchkua muda kurecover, km unaweza mpeleke kwa physiotherapist na km huna huo uwezo hakiksha anafanya mazoez... Asilale baad ya muda inategmeana madhara ya injury, somtyms inaweza kuchkua miaka
 
Mpeleke pcmc clinic ipo karibu na muhimbili atapimwa kipimo cha nerve conduction studies and emg watajua tatizo
 

Hiyo hali imesababishwa na sindano,hata mim iliwahi nitokea chamsingi ni kumfanyisha sana mazoezi asubuhi na jioni hari itatengemaa wala msije mkaliwa hela,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…