Msaada: Kaka Yangu Kahukumiwa Miaka 30 Leo

Asante mkuu ngoja nirekaebishe
 
Asante mkuu
 
Kama kweli hii story yake ni ya kweli. Shaenda magereza, kila mtu anasema kaonewa wote hawajakosa, nawaambieni mahakimu we go 98% hawafungi mtu kwa kumuonea
Ni sawa lakini kwa nchi zetu hizi, masikini anaonewa sana, kwenye upatikanaji wa haki yake, juzi kuna jamaa , ameachiwa huru baada ya kukaa jela miaka 34, kwa kosa la mauaji, ambalo jaji aliyemuhukumu alimwambia ushahidi haujitosherezi, wa kukufunga ila kutokana na usalama wako, nakufunga maisha!!hahaaaa!!!badaye jaji mwingine alipoipitia akashangazwa na hiyo hukumu, kutokana na ushahidi, na jamaa hata hakukata rufaa!!mwaka jana anashangaa tu anaachiwa!!!
 
Asante mkuu kwa ufafanuzi mzuri maana kaka hakua na risti yoyote waliuziana kienyeji afu shahidi upande wa pili walikua ni askari waliowakamata
 
Jamani naomba kuuliza!
Ni simu tu ndio sio vizuri kununua kwa mtu au hata bidhaa za ndani kaama radio, vitanda, fridge nk
Naombeni ufafanuzi kijana wenu nisije kwenda Jera Mana naogopa saana
 

Miaka 34 ni umbali mrefu Sana, hakuna judge mwaka huu a aweza andika hiyo Hukumu
 
Jamani naomba kuuliza!
Ni simu tu ndio sio vizuri kununua kwa mtu au hata bidhaa za ndani kaama radio, vitanda, fridge nk
Naombeni ufafanuzi kijana wenu nisije kwenda Jera Mana naogopa saana

Muamini Sana na awe na office, tabu Sana kununua vitu kwa mtu
 
Kuna sehemu unieleweshe kaka amelia sana kwamba mwenzao alitoka kwa sababu ya pesa sasa kwenye huo uvamizi walikuwa wote na kaka au
Maana umeanza kuwa kaka aliuziwa simu ya wizi na ilitumika silaha katika uvamizi pikipiki na vitu vingine viliporwa sasa hao watatu kuwepo kwenye hiyo kesi nao waliuziwa baadhi ya vitu au?
 
Kama ni kweli Tumia siasa kupitia mitandao ya kijamii utengeneze attention. Watatokea wanasiasa kukusaidia ili kupata mtaji wa kisiasa. Mitandao ina nguvu sana, kama kuna kamchezo kalifanyika akaonewa wahusika wakiona mitandao inasema wataanza kutafuta namna kabla wanasiasa hawajalifanyia kazi.
 
Pole sana, God is the judge, muchie Mungu amuhukumu kwa haki au kateni rufaa kama familia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…