exalioth
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 2,263
- 3,897
- Thread starter
- #81
Asante mkuu ngoja nirekaebisheTafuteni wakili mkakate rufaa, ila cha kukusaidia hii stori sio muhimu kumpa kaka yako msaada muhimu ni
1. Andika kosa aliloshitakiwa nalo
2. Taja mahakama kama ni wilaya au Kuu
3. Sema kama alikiri au alikataa kosa
4. Omba msaada wa kisheria/Wakili
Sababu ulivyoandika ni kama vile unachukulia rushwa kama ni haki ya mtu fulani kupewa au kutoa, iyo stori haikusaidii sana sana itakutenga na watu wenye msaada kwako.
Ni hayo tu Mkuu ukiona ni muhimu edit uzi wako ukae kwenye hayo mambo manne niliyokushauri.