Msaada: Kaka Yangu Kahukumiwa Miaka 30 Leo

Msaada: Kaka Yangu Kahukumiwa Miaka 30 Leo

Simu huwa zinanunuliwa madukani, iweje yeye anunue kwa mtu mitaani? Pili miaka 30 kwa simu tu haiingii akilini, lazima kuna makosa mengine kama ya ujambazi au wizi huyo kaka yako kayafanya. Refer kifungo cha Sabaya kwa miaka kama hiyo.
Kabla ya kuchangia muwe mnasoma kwanza na kuelewa, mtu ameshasema kuwa wakati wa tukio la kupola hiyo simu, silaha ilitumika, wewe tena unasema tena eti kuna makosa mengine tena?!!wakati adhabu ya wizi wa kutumia silaha ndio hiyo!!
 
Tafuteni pesa mumtoe gerezani hata kama ni kwa kuuza mali zake kama ana kiwanja/shamba mweke rehani atapambana alipe akitoka
Mkuu hayo mambo sio rahisi hivyo kama unavyoyafikiria!!!hiyo sio kesi ya kuiba kuku!!au ya kutukana mtu!!wanaweza kuuza vitu na bado ngoma ikawa ngumu, hayo mambo zaidi upate connection na wakubwa ndio huwa rahisi sana.
 
Rahisi ni ghali. Ndicho kilichomtokea kaka yako.

Huko huko GEREZANI kuna askari magereza ambao shughuli zao ni kusaidia wafungwa kukata rufaa. Hivyo na wewe mshauri aongee na askari hao wa kitengo cha sheria akate rufaa mahakama kuu.

Kama kweli hii story yake ni ya kweli. Shaenda magereza, kila mtu anasema kaonewa wote hawajakosa, nawaambieni mahakimu we go 98% hawafungi mtu kwa kumuonea
 
Simu huwa zinanunuliwa madukani, iweje yeye anunue kwa mtu mitaani? Pili miaka 30 kwa simu tu haiingii akilini, lazima kuna makosa mengine kama ya ujambazi au wizi huyo kaka yako kayafanya. Refer kifungo cha Sabaya kwa miaka kama hiyo.
Mkuu unasema simu zinanunuliwa dukani??

Na nani??

Siyo wote wana hela ya kwenda huko dukani
 
[emoji120]
ile simu aliyonunua iliporwa kwa nguvu kutumia silaha na kupora vitu baadhi ikiwemo pikipiki, na katika sakata hilo walikamatwa watu watatu akiwemo na yeye.

Kaka yako hajafungwa kwa kosa la kuiba simu yeye kafungwa kwa kosa la robbery. Hapa simu haihusiki kwa sababu yeye hakukamata na simu ingawa alinunua simu ya wizi ,tukio la pili la kuibiwa na majambazi wenye silaha ndo kesi yenyewe.

Kitu ambacho ninahisi, maelezo ya kaka yako wenda kukili makosa, hilo ki kosa kubwa kwenye kesi kama hizo.

Nahisi harufu ya kumchongea kesi kuna mtu alikuwa akimtafuta, sasa kapata nafasi.

Kesi kama hizo bila pesa,lazima usote, mambo ya kusema utatokea muujiza sahau.

Weka haki pembeni hilo swala ilibidi mtumie pesa huko police.ilibidi muuze hata kiwanja chake .
Option ilobaki ni kukata rufaa.

Tatizo hamna hela, na kibaya zaid hata hiyo pesa kwa sasa inaweza isisaidie.

Kutokana na imani yangu kichwani nina wazo ambalo ni la kibinadamu zaidi.. Mkifanikiwa kukata rufaaa, angalieni na mazingira mengine kama mtabahatika kupata mtu sahihi. Nimetoa ushauri huu kwa sababu ya experience ya kesi ninazoona mahakamani. Siku ya kusikilizwa rufaa chochote cha weza tokea.life is not fair lazima kuangaika huku na huku.siku zote haki ucheleweshwa

Nb. mimi ni mristo safi nampenda Bwana yesu.
 
ile simu aliyonunua iliporwa kwa nguvu kutumia silaha na kupora vitu baadhi ikiwemo pikipiki, na katika sakata hilo walikamatwa watu watatu akiwemo na yeye.

Kaka yako hajafungwa kwa kosa la kuiba simu yeye kafungwa kwa kosa la robbery. Hapa simu haihusiki kwa sababu yeye hakukamata na simu ingawa alinunua simu ya wizi ,tukio la pili la kuibiwa na majambazi wenye silaha ndo kesi yenyewe.

Kitu ambacho ninahisi, maelezo ya kaka yako wenda kukili makosa, hilo ki kosa kubwa kwenye kesi kama hizo.

Nahisi harufu ya kumchongea kesi kuna mtu alikuwa akimtafuta, sasa kapata nafasi.

Kesi kama hizo bila pesa,lazima usote, mambo ya kusema utatokea muujiza sahau.

Weka haki pembeni hilo swala ilibidi mtumie pesa huko police.ilibidi muuze hata kiwanja chake .
Option ilobaki ni kukata rufaa.

Tatizo hamna hela, na kibaya zaid hata hiyo pesa kwa sasa inaweza isisaidie.

Kutokana na imani yangu kichwani nina wazo ambalo ni la kibinadamu zaidi.. Mkifanikiwa kukata rufaaa, angalieni na mazingira mengine kama mtabahatika kupata mtu sahihi. Nimetoa ushauri huu kwa sababu ya experience ya kesi ninazoona mahakamani. Siku ya kusikilizwa rufaa chochote cha weza tokea.life is not fair lazima kuangaika huku na huku.siku zote haki ucheleweshwa

Nb. mimi ni mristo safi nampenda Bwana yesu.
Amina na ubarikiwe kwa ushauri uliotukuta
 
Kama kweli hii story yake ni ya kweli. Shaenda magereza, kila mtu anasema kaonewa wote hawajakosa, nawaambieni mahakimu we go 98% hawafungi mtu kwa kumuonea
Tunamsaidieje ndugu yetu
 
ile simu aliyonunua iliporwa kwa nguvu kutumia silaha na kupora vitu baadhi ikiwemo pikipiki, na katika sakata hilo walikamatwa watu watatu akiwemo na yeye.

Kaka yako hajafungwa kwa kosa la kuiba simu yeye kafungwa kwa kosa la robbery. Hapa simu haihusiki kwa sababu yeye hakukamata na simu ingawa alinunua simu ya wizi ,tukio la pili la kuibiwa na majambazi wenye silaha ndo kesi yenyewe.

Kitu ambacho ninahisi, maelezo ya kaka yako wenda kukili makosa, hilo ki kosa kubwa kwenye kesi kama hizo.

Nahisi harufu ya kumchongea kesi kuna mtu alikuwa akimtafuta, sasa kapata nafasi.

Kesi kama hizo bila pesa,lazima usote, mambo ya kusema utatokea muujiza sahau.

Weka haki pembeni hilo swala ilibidi mtumie pesa huko police.ilibidi muuze hata kiwanja chake .
Option ilobaki ni kukata rufaa.

Tatizo hamna hela, na kibaya zaid hata hiyo pesa kwa sasa inaweza isisaidie.

Kutokana na imani yangu kichwani nina wazo ambalo ni la kibinadamu zaidi.. Mkifanikiwa kukata rufaaa, angalieni na mazingira mengine kama mtabahatika kupata mtu sahihi. Nimetoa ushauri huu kwa sababu ya experience ya kesi ninazoona mahakamani. Siku ya kusikilizwa rufaa chochote cha weza tokea.life is not fair lazima kuangaika huku na huku.siku zote haki ucheleweshwa

Nb. mimi ni mristo safi nampenda Bwana yesu.
Umasikini mbaya jamani,, yaani nakoswa hata cha kuchangia
 
Story fikirishi sana wapo wana wanakamatwa hata miaka 5 haifiki

Bro kuwa serious bro wako ana kesi ya kupora kwa kuua na kujeruhiwa watu sio simu hajalishi kweli au kasimgiziwa bongo kupigwa miaka 30 umefanya makosa mkubwa kama kubaka ,kulawiti ,kumpa mtoto wa shule ujauzito

Hyo ni mbaya sana na wengi wanaenda jela kwa sasa ukinunua simu tu hujui imetoka wapi balaa lake ndo hilo kuweni makini mngeshtuka mapema mngetumia pesa ila hapo itakuwa soon

Mda bado sana watu wengi wanapiga hizo dili kwamba wanauziwa vitu vya wizi na wanajua na wao wanauza wengi mateja na unakuta kwao pesa ipo kidogo usishangae akafungwa pekeake
 
Kwa ufupi kesi ya kaka angu yeye ni machinga, aliuziwa simu na mtu baada ya kuitumia hiyo simu kama wiki mbili alikamatwa

Kosa ile simu aliyonunua iliporwa kwa nguvu kutumia silaha na kupora vitu baadhi ikiwemo pikipiki, na katika sakata hilo walikamatwa watu watatu akiwemo na yeye.

Wakapelekwa polisi kwa upelelezi badae kesi ikaenda Mahakamani wamekaa miezi tisa mmoja wao alitoka wiki mbili zilizopita wakabaki wawili.

Leo ilikuwa siku ya hukumu na imetokea kama nilivyoeleza hapo juu,

Nimeongea na kaka amelia sana anasema wamefungwa kwa kukosa hela ambapo mwenzao kesi ya pamoja ametoka kwa kutumia pesa. Kwa upande wetu pesa hatuna familia ya kimasikini

Naomba msaada kama kuna utaratibu upi tuutumie kama familia, imeniuma sana kuona kaka anafungwa miaka yote hiyo.

yuda exalioth
Jamiiforms
geita
Kuna wanasheria huwa wanatoa msaada wa kisheria bure.. Bado ana nafasi ya kukata rufaa na matokeo yakapinduliwa
 
Tafuteni wakili mkakate rufaa, ila cha kukusaidia hii stori sio muhimu kumpa kaka yako msaada muhimu ni

1. Andika kosa aliloshitakiwa nalo
2. Taja mahakama kama ni wilaya au Kuu
3. Sema kama alikiri au alikataa kosa
4. Omba msaada wa kisheria/Wakili

Sababu ulivyoandika ni kama vile unachukulia rushwa kama ni haki ya mtu fulani kupewa au kutoa, iyo stori haikusaidii sana sana itakutenga na watu wenye msaada kwako.

Ni hayo tu Mkuu ukiona ni muhimu edit uzi wako ukae kwenye hayo mambo manne niliyokushauri.
 
Kwa ufupi kesi ya kaka angu yeye ni machinga, aliuziwa simu na mtu baada ya kuitumia hiyo simu kama wiki mbili alikamatwa

Kosa ile simu aliyonunua iliporwa kwa nguvu kutumia silaha na kupora vitu baadhi ikiwemo pikipiki, na katika sakata hilo walikamatwa watu watatu akiwemo na yeye.

Wakapelekwa polisi kwa upelelezi badae kesi ikaenda Mahakamani wamekaa miezi tisa mmoja wao alitoka wiki mbili zilizopita wakabaki wawili.

Leo ilikuwa siku ya hukumu na imetokea kama nilivyoeleza hapo juu,

Nimeongea na kaka amelia sana anasema wamefungwa kwa kukosa hela ambapo mwenzao kesi ya pamoja ametoka kwa kutumia pesa. Kwa upande wetu pesa hatuna familia ya kimasikini

Naomba msaada kama kuna utaratibu upi tuutumie kama familia, imeniuma sana kuona kaka anafungwa miaka yote hiyo.

yuda exalioth
Jamiiforms
geita
Mwache apumzike kule usimgasi gasi! Kwani magereza zimejengwa kwaajili ya kufungia kuku?
 
Pole!

Naona una taarifa chache sana kuhusu hili suala hujachimba vizuri kufahamu hata mwenendo wa kesi, unasema hukuruhusiwa hata kusikiliza umekuta hukumu tayari na nakala huna.

Tafuta mtu wa kukusaidia kwanza kujua mwenendo mzima wa kesi, upelelezi mpaka hukumu, umesema huna hela ni changamoto ila kwanza hapa lazima uwe mnyenyekevu sana kwa kila utakayetaka msaada wake (hutakosa msaada).

Jamii Forum inaweza kua sehemu ya kwanza kwa wewe kusaidika nimeona kuna wadau wanaomba uwape baadhi ya taarifa PM usiwapuuze! Lakini binafsi cha kwanza fuatiliaa mtiririko mzima wa kesi itakupa mwanga wa wapi pakuanzia.

Sijui chochote kuhusu sheria labda basics tu na nipo tayari kukusaidia japo sijajua kwa eneo gani ila kama ni kweli jamaa kaonewa wewe na familia msilale na yeye huko jela atazidi kujifunza pa kuanzia.
 
Kwa ufupi kesi ya kaka angu yeye ni machinga, aliuziwa simu na mtu baada ya kuitumia hiyo simu kama wiki mbili alikamatwa

Kosa ile simu aliyonunua iliporwa kwa nguvu kutumia silaha na kupora vitu baadhi ikiwemo pikipiki, na katika sakata hilo walikamatwa watu watatu akiwemo na yeye.

Wakapelekwa polisi kwa upelelezi badae kesi ikaenda Mahakamani wamekaa miezi tisa mmoja wao alitoka wiki mbili zilizopita wakabaki wawili.

Leo ilikuwa siku ya hukumu na imetokea kama nilivyoeleza hapo juu,

Nimeongea na kaka amelia sana anasema wamefungwa kwa kukosa hela ambapo mwenzao kesi ya pamoja ametoka kwa kutumia pesa. Kwa upande wetu pesa hatuna familia ya kimasikini

Naomba msaada kama kuna utaratibu upi tuutumie kama familia, imeniuma sana kuona kaka anafungwa miaka yote hiyo.

yuda exalioth
Jamiiforms
geita
Hapa usisingizie umaskini kwani kaka yako ana kosa na hiyo adhabu aliyohukumiwa miaka 30 ni sahihi kwa kosa lililotokea haijalishi ni kweli amefanya au kwa kukutwa na simu ya wizi kama ushahidi. Tambua mkamatwa na ngozi ndiye mwizi kisheria.

Usisingizie umaskini.

Hapa unataka kutuaminisha kwamba iwe ni kweli kaka yako ni jambazi au sio, ungekuwa na pesa ungetoa rushwa ili kaka yako awekwe huru. Hii haikubaliki. Labda ungesema kutafuta msaada wa sheria sawa.

Una uhakika gani kaka yako sio jambazi?

Kaka yako kakusimulia aliuziwa simu na hakuiba. Haukuwepo wala haukushuhudia akiuziwa simu au kuiba. Yote haya yanawezekana. Una uhakika gani hakuipata hiyo simu kwa unyang'anyi wa kutumia nguvu? Kwa vile hapa kulikuwa na ubishani wa pande mbili DPP akimshitaki kuwa ameiba na yeye anakataa. Mahakama inaamua kulingana na ushahidi wa pande mbili yaani DPP na kaka yako. Yeyote anayeishawishi mahakama kwa ushahidi ndiye mkweli. Lakini mpaka hapo maelezo yako yalipoishia yanaonesha ugumu wa kaka yako kujinasua na hili sakata kwani ushahidi unaonyesha alihusika kwa ushahidi wa kukutwa na simu ila anakana kwa maneno pekee. Simu ni ushahidi wa uhusika. Hata kama angempata muuzaji, kama hana ushahidi wa mauziano na muuzaji akakana kumuuzia bado miaka 30 inamhusu. Hapa kujinasua ni mpaka awe na pesa ya kuhonga kama unavyodai.

Ushahidi.

Inaelekea ushahidi pekee ulio nao wewe na kaka yako ni KAZI YA UMACHINGA, SIMU AMEINUNUA basi. Wakati DPP ana ushahidi wa mtu aliyefanyiwa ujambazi na kuporwa vitu kadhaa na pengine cheti cha matibabu, ushahidi wa umiliki wa simu na kaka yako kukamatwa akiwa na hiyo simu ya wizi akiitumia. Unadhani hapo ni nani mwenye ushahidi thabiti na kamili.

Katika utetezi wa kaka yako kukutwa na simu ya wizi atakuwa amesema ameuziwa. Kitu ambacho hata jambazi au asiye lazima atasema hivyo kama sehemu ya utetezi. DPP atakuuliza umeuziwa na nani? Unatakiwa umtambue muuzaji na umuoneshe hakimu mahakamani hapo kama ushahidi ikiwa muuzaji atakuwepo. La kama hayupo uonyeshe karatasi za mauziano. Huna vyote wewe ni mwongo tu sawa na waongo wengine wanaotumia maneno kulaghai. Pia kama muuzaji yupo hapo na akakana kumuuzia ndugu yako, na hakuna ushahidi bado miaka 30 itamhusu kwa kosa la unyang'anyi.

Nini cha kufanya.

Kama anaona kaonewa akate rufaa. Ila ajipange na ushahidi na sio Maneno maneno tu. Vinginevyo kama unavyoamini katika rushwa ya pesa kama unavyodai haukuwa na pesa, utafute pesa ya kumtoa kama unaamini inaweza kumtoa.
 
Back
Top Bottom