Msaada: Kampuni ya usafirishaji mbadala wa DHL itakayofikisha mzigo hasa Afrika Kusini chini ya wiki moja

Msaada: Kampuni ya usafirishaji mbadala wa DHL itakayofikisha mzigo hasa Afrika Kusini chini ya wiki moja

Danielmwasi

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2021
Posts
2,134
Reaction score
3,834
Kama kuna mtu anajua a company inayoweza safirisha small parcel bila regulation na vikao, yaani pay and transport sitaki mbambamba nyingi kama za DHL. Ani link up? Inchi ni za Africa hasa South Africa, Kenya na Dubai.
 
Ni mzigo gani na unapatikana Mkoa gani...?
South Africa, Kenya na dubai. Small parcels tu. Ni from dar and dodoma. Inaweza letwa hata main branch. Sitaki siasa za DHL tu. Vikao sijui nini extra hidden cost hapana
 
Back
Top Bottom