Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mtafutie nyumba ndogo....saa nyengine tunakuwaga na kiburi tukiwa hatuna ushindani,:bange::bange::bange:
Mnaishije kwani? manake kuna watu wanaishi na wenzi wao kama mtu na mzazi wake. Hebu jaribu kumtreat wife wako kama Best friend wako uone kama kuna kitu ambacho hatataka kushare na wewe...
Wana JF na hasa wale wenye weledi na mambo ya ndoa. mke wangu niko naye miaka 3. tuna mtoto 1 wa miaka 3. Nimemfungulia biashara nzuri anaingiza pesa nzuri tu kwa siku. Usafiri nimempa wa kumpeleka kazini kwake na kumuwahisha home. Tatizo moja linanikwaza: nikitaka kujua maswala yanayohusu pesa au marafiki zake hata wa kike tu basi majibu yake huwa ni mkato na ya jeuri na hachelewi kusema usinisimange au kama umechoka niambie. Kuepuka shari mm huwa najishusha nakumtuliza kuwa haikuwa kwa nia ya kumkwaza bali kama mume nina haki kujua. hajui kusema samahani hata pale anapogungua alikosea kauli. Sasa haya maisha dawa yake nn? nami sitaki kuzurura napenda niishi naye kama ahadi ya ndoa. wakuu mawazo yenu pls!
Wana JF na hasa wale wenye weledi na mambo ya ndoa. mke wangu niko naye miaka 3. tuna mtoto 1 wa miaka 3. Nimemfungulia biashara nzuri anaingiza pesa nzuri tu kwa siku. Usafiri nimempa wa kumpeleka kazini kwake na kumuwahisha home. Tatizo moja linanikwaza: nikitaka kujua maswala yanayohusu pesa au marafiki zake hata wa kike tu basi majibu yake huwa ni mkato na ya jeuri na hachelewi kusema usinisimange au kama umechoka niambie. Kuepuka shari mm huwa najishusha nakumtuliza kuwa haikuwa kwa nia ya kumkwaza bali kama mume nina haki kujua. hajui kusema samahani hata pale anapogungua alikosea kauli. Sasa haya maisha dawa yake nn? nami sitaki kuzurura napenda niishi naye kama ahadi ya ndoa. wakuu mawazo yenu pls!
Nachukia mawazo ya aina yako....Ingekua ni Wamachame tu wenyewe matatizo wanaume wengi sana wangekua na raha kwenye ndoa zaoNi mmachame? kama yes basi mwache uendelee na mambo yako mengine tu atakuletea vidonda vya tumbo!
Mayassa, kwa umri wangu nimeona mengi...kuna baadhi ya wanawake hata umtreat vipi, wana preconceived ideas kuhusu ndoa kwa ujumla
Ukute huyo anawaza kwamba "hili ***** limeshanifungulia biashara ni muda wa mimi kujijenga" (hoping for the worst case scenario) na hasa pale ambapo walioana bila wote wawili kuwa na one objetive...
Hapo nimekuelewa mkuu..
Wana JF na hasa wale wenye weledi na mambo ya ndoa. mke wangu niko naye miaka 3. tuna mtoto 1 wa miaka 3. Nimemfungulia biashara nzuri anaingiza pesa nzuri tu kwa siku. Usafiri nimempa wa kumpeleka kazini kwake na kumuwahisha home. Tatizo moja linanikwaza: nikitaka kujua maswala yanayohusu pesa au marafiki zake hata wa kike tu basi majibu yake huwa ni mkato na ya jeuri na hachelewi kusema usinisimange au kama umechoka niambie. Kuepuka shari mm huwa najishusha nakumtuliza kuwa haikuwa kwa nia ya kumkwaza bali kama mume nina haki kujua. hajui kusema samahani hata pale anapogungua alikosea kauli. Sasa haya maisha dawa yake nn? nami sitaki kuzurura napenda niishi naye kama ahadi ya ndoa. wakuu mawazo yenu pls!
Ningefurahi kusikia wadada wanasemaje maana siri zingine ktk mambo kama haya wanazijua zaidi.inaweza kuwa ni ushauri wa mashoga, au wapambe au character ya mtu hasa anaposahau alipotoka. Naamini wanawake great thinkers ni wengi.labda nichokoze mada. Kama ww ni mwanamke nn chaweza kupelekea kuwa na tabia kama hii.kwa vile mume mpole? Au kaonyesha kukujali? Au umepata stay wire kwa hiyo hata kimbunga kije nguzo haianguki au ulimbukeni wa kutojua majukumu tu.au pepo. Great thinkers think great.
Wana JF na hasa wale wenye weledi na mambo ya ndoa. mke wangu niko naye miaka 3. tuna mtoto 1 wa miaka 3. Nimemfungulia biashara nzuri anaingiza pesa nzuri tu kwa siku. Usafiri nimempa wa kumpeleka kazini kwake na kumuwahisha home. Tatizo moja linanikwaza: nikitaka kujua maswala yanayohusu pesa au marafiki zake hata wa kike tu basi majibu yake huwa ni mkato na ya jeuri na hachelewi kusema usinisimange au kama umechoka niambie. Kuepuka shari mm huwa najishusha nakumtuliza kuwa haikuwa kwa nia ya kumkwaza bali kama mume nina haki kujua. hajui kusema samahani hata pale anapogungua alikosea kauli. Sasa haya maisha dawa yake nn? nami sitaki kuzurura napenda niishi naye kama ahadi ya ndoa. wakuu mawazo yenu pls!
Mnaishije kwani? manake kuna watu wanaishi na wenzi wao kama mtu na mzazi wake. Hebu jaribu kumtreat wife wako kama Best friend wako uone kama kuna kitu ambacho hatataka kushare na wewe...
Wana JF na hasa wale wenye weledi na mambo ya ndoa. mke wangu niko naye miaka 3. tuna mtoto 1 wa miaka 3. Nimemfungulia biashara nzuri anaingiza pesa nzuri tu kwa siku. Usafiri nimempa wa kumpeleka kazini kwake na kumuwahisha home. Tatizo moja linanikwaza: nikitaka kujua maswala yanayohusu pesa au marafiki zake hata wa kike tu basi majibu yake huwa ni mkato na ya jeuri na hachelewi kusema usinisimange au kama umechoka niambie. Kuepuka shari mm huwa najishusha nakumtuliza kuwa haikuwa kwa nia ya kumkwaza bali kama mume nina haki kujua. hajui kusema samahani hata pale anapogungua alikosea kauli. Sasa haya maisha dawa yake nn? nami sitaki kuzurura napenda niishi naye kama ahadi ya ndoa. wakuu mawazo yenu pls!