MSAADA: Kati ya kulima au kufuga nianze na kipi?

MSAADA: Kati ya kulima au kufuga nianze na kipi?

IZENGOB

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2014
Posts
323
Reaction score
317
Ndugu zangu nimekopa mil 5 sasa nilikua nataka kuingiza kwenye kilimo au ufugaji, hivyo naomba ushauri wenu kama ni kilimo nilime nini, kama ufugaji nifuge nini ili niweze kupata pesa ya haraka nimudu marejesho ya mkopo.
 
Mungu wangu yaani umekopa bila plan? Ukitoboa mshukuru sana Mungu...
Watakuja wahamasishaji wa kilimo mpaka utajiona milionea
Watakuja washauri wa ufugaji utajiona ulichelewa wapi
Ingia ufanye kwa vitendo...! Hakuna rangi utaacha kuona..
Nimekopa kwa ajili ya kilimo na ufugaji na kuendeleza shamba langu.Ila mazao na mifugo ambayo itanipa pesa kwa muda mfupi ndio siyajui.Wao waje tu nami nitachuja pumba na mchele.
 
Kilimo inategemea uko wapi. Kuhusu mifugo sijui.

Kama uko karibu na Dar na shamba lako linakubali papai zile ndefu. Utaanza kurudisha hela baada ya mwaka 1. Na pia inategemea wanunuzi watafuata mzigo au utaupeleka. Na usilime ya Kisasa yanataka sana umwagiliaji.

Kwa ujumla hoja yako inahitaji uende "field"kuhusu kulima ,masoko usafiri,aina za udongo zinataka nini na usalama wa mazao, na hivyo hivyo kwa mifugo.
 
Nimekopa kwa ajili ya kilimo na ufugaji na kuendeleza shamba langu.Ila mazao na mifugo ambayo itanipa pesa kwa muda mfupi ndio siyajui.Wao waje tu nami nitachuja pumba na mchele.
Ok ok sawa
 
Kilimo inategemea uko wapi. Kuhusu mifugo sijui.

Kama uko karibu na Dar na shamba lako linakubali papai zile ndefu. Utaanza kurudisha hela baada ya mwaka 1. Na pia inategemea wanunuzi watafuata mzigo au utaupeleka. Na usilime ya Kisasa yanataka sana umwagiliaji.

Kwa ujumla hoja yako inahitaji uende "field"kuhusu kulima ,masoko usafiri,aina za udongo zinataka nini na usalama wa mazao, na hivyo hivyo kwa mifugo.
Pwani kibiti shamba lipo huko.Asante kwa ushauri
 
We
Nimekopa kwa ajili ya kilimo na ufugaji na kuendeleza shamba langu.Ila mazao na mifugo ambayo itanipa pesa kwa muda mfupi ndio siyajui.Wao waje tu nami nitachuja pumba na mchele.
Wewe huna uwezo wa kuchuja pumba na mchele. Shamba umekuwa nalo muda mrefu hamna kitu.
 
Ndugu zangu nimekopa mil 5 sasa nilikua nataka kuingiza kwenye kilimo au ufugaji, hivyo naomba ushauri wenu kama ni kilimo nilime nini, kama ufugaji nifuge nini ili niweze kupata pesa ya haraka nimudu marejesho ya mkopo.
una 100%za kupoteza mtaji mpaka sasa,sababu huwa tunaanza kuandaa wazo la biashara kabla ya kutafuta mtaji
 
Nimekopa kwa ajili ya kilimo na ufugaji na kuendeleza shamba langu.Ila mazao na mifugo ambayo itanipa pesa kwa muda mfupi ndio siyajui.Wao waje tu nami nitachuja pumba na mchele.
Uchuje

[emoji23]
 
We

Wewe huna uwezo wa kuchuja pumba na mchele. Shamba umekuwa nalo muda mrefu hamna kitu.
ok sawa sio mgeni sana kwenye kilimo kwani ni mwaka wa pili nalima ufuta sasa nilitaka kubadili kilimo cha msimu niwe nalima hata kiangazi (muda wote.
 
Wewe
ok sawa sio mgeni sana kwenye kilimo kwani ni mwaka wa pili nalima ufuta sasa nilitaka kubadili kilimo cha msimu niwe nalima hata kiangazi (muda wote.
Wewe upo pwani ni viziri kujikita mazao ya pwani.
Kwa mujibu wa muongozo wa wizars ya kilomo mazao yamegawanywa mara2
1.Mazao ya kudumu korosho,michungwa,minazi,maembe
2.Mazao ya msimu
-mbogamboga zote
- matunda kama matikiti, matango
-mazao ya mzizi ambayo ni mihogo na viazi vitamu.
Fanya cost analysis chagua zao mojawapo.
 
Uf
ok sawa sio mgeni sana kwenye kilimo kwani ni mwaka wa pili nalima ufuta sasa nilitaka kubadili kilimo cha msimu niwe nalima hata kiangazi (muda wote.
Siku nyingine uwe na shamba sio mbali na Dar, ili mazao yakitoka shamba yaende Buguruni Tandale etc.

Mi mazao ambayo serikali inapanga bei nayakwepa.
 
Wewe

Wewe upo pwani ni viziri kujikita mazao ya pwani.
Kwa mujibu wa muongozo wa wizars ya kilomo mazao yamegawanywa mara2
1.Mazao ya kudumu korosho,michungwa,minazi,maembe
2.Mazao ya msimu
-mbogamboga zote
- matunda kama matikiti, matango
-mazao ya mzizi ambayo ni mihogo na viazi vitamu.
Fanya cost analysis chagua zao mojawapo.
Asante mkuu kwa ushauri wako mzuri.
 
Uf

Siku nyingine uwe na shamba sio mbali na Dar, ili mazao yakitoka shamba yaende Buguruni Tandale etc.

Mi mazao ambayo serikali inapanga bei nayakwepa.
Shamba ambalo sio mbali na Dar ni vigumu kupatkana na ukipata karibu na Dar hilo sio shamba ni kiwanja.
 
Wewe

Wewe upo pwani ni viziri kujikita mazao ya pwani.
Kwa mujibu wa muongozo wa wizars ya kilomo mazao yamegawanywa mara2
1.Mazao ya kudumu korosho,michungwa,minazi,maembe
2.Mazao ya msimu
-mbogamboga zote
- matunda kama matikiti, matango
-mazao ya mzizi ambayo ni mihogo na viazi vitamu.
Fanya cost analysis chagua zao mojawapo.
Naweza kupata wapi mongozo huo?
 
Ndugu zangu nimekopa mil 5 sasa nilikua nataka kuingiza kwenye kilimo au ufugaji, hivyo naomba ushauri wenu kama ni kilimo nilime nini, kama ufugaji nifuge nini ili niweze kupata pesa ya haraka nimudu marejesho ya mkopo.
Fanya uoe kwanza ili mkiwa wawili mnakuwa mmegawana tayari ww utalima mkeo atafuga

Asante
 
Ndugu zangu nimekopa mil 5 sasa nilikua nataka kuingiza kwenye kilimo au ufugaji, hivyo naomba ushauri wenu kama ni kilimo nilime nini, kama ufugaji nifuge nini ili niweze kupata pesa ya haraka nimudu marejesho ya mkopo.
Kwema ndugu .
Kama wewe ni Christian then fuga nguruwe na usiajiri mtu be responsible anza na ujenzi wa banda then tafuta chakula na upate mbegu nzuri.

Pia

Usiwekeze pesa yote tenga 1m tu anza kwa udogo ili kujua ufugaji wake upoje .
 
Mungu wangu yaani umekopa bila plan? Ukitoboa mshukuru sana Mungu.

Watakuja wahamasishaji wa kilimo mpaka utajiona milionea.

Watakuja washauri wa ufugaji utajiona ulichelewa wapi.

Ingia ufanye kwa vitendo!

Hakuna rangi utaacha kuona.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Back
Top Bottom