MSAADA: Kati ya kulima au kufuga nianze na kipi?

MSAADA: Kati ya kulima au kufuga nianze na kipi?

Kwema ndugu .
Kama wewe ni Christian then fuga nguruwe na usiajiri mtu be responsible anza na ujenzi wa banda then tafuta chakula na upate mbegu nzuri.

Pia

Usiwekeze pesa yote tenga 1m tu anza kwa udogo ili kujua ufugaji wake upoje .
Ni christian asante kwa ushauri ndugu pumba huku sio changamoto kwani gunia ni buku 10 tu
 
Ndugu zangu nimekopa mil 5 sasa nilikua nataka kuingiza kwenye kilimo au ufugaji, hivyo naomba ushauri wenu kama ni kilimo nilime nini, kama ufugaji nifuge nini ili niweze kupata pesa ya haraka nimudu marejesho ya mkopo.
Serious mkuu umekopa ili ulime?
 
But ifanye kama mradi na sio local .
Make sure unakuwa systematic katika kuwatunza

Ukifanya local na itakuwa hivyo hivyo
 
[emoji2297][emoji2297][emoji2297][emoji2297][emoji2297][emoji2296][emoji2296] mil.5 ya mkopo mkuu unataka kuiweka kwenye kilimo na ufugaji

Sio kwamba havilipi!!

Vinalipa lakini ni kama unacheza bahati nasibu

Mimi sio mzoefu lakini ningekushauri kwenye hiyo hela tumia mil.1 pekee hiyo nyingine tafuta wazo la biashara utakalo liamini ufanye.


Humu kuna ule uzi wa waliochukua mkopo wakafanya ndivyo sivyo kama una muda upitie mkuu

Utakusaidia kupata japo mambo mawili matatu
 
Hilo shamba lako ni hekali ngapi kama ningekuwa Mimi nimekopa hiyo pesa ulioyonayo wewe kama shamba ni kubwa yaani heka tano heka moja ningeweka mipapai miatano mbegu ndefu ya miezi sita nitatumia kiasi cha milioni moja yaani mbegu, mbolea, wachimbaji ,na madawa halafu ninafuga mbuzi wa kisasa nenda katafute wale mbuzi wanaozaa pacha mbuzi mmoja kima cha chini laki na nusu 150,000×6=900,000/= yaani mbuzi sita watano majike mmoja dume tengeneza banda la mbuzi la kawaida mpaka kufikia hapo utakuwa kama milioni 2,500,000 umetumia weka benki 1,000,000 ya kuangalia mradi unavyokwenda na marejeo ya mkopo 1,500,000 iliyobakia endelea na kilimo chako cha ufuta pamoja na kungalia mifugo yako inavyoendelea kukua!!!
 
Ndugu zangu nimekopa mil 5 sasa nilikua nataka kuingiza kwenye kilimo au ufugaji, hivyo naomba ushauri wenu kama ni kilimo nilime nini, kama ufugaji nifuge nini ili niweze kupata pesa ya haraka nimudu marejesho ya mkopo.

Samahani kwa kuuliza, hiyo hela umekopa kwa mtu au taasisi ??
Kama ni taasisi, ni ipi hiyo imekupa mkopo bila kujua unafanya kitu gani cha kuweza kufanya marejesho?
Na mimi nahitaji huo mkopo hata mil 3 [emoji1666]
 
Hilo shamba lako ni hekali ngapi kama ningekuwa Mimi nimekopa hiyo pesa ulioyonayo wewe kama shamba ni kubwa yaani heka tano heka moja ningeweka mipapai miatano mbegu ndefu ya miezi sita nitatumia kiasi cha milioni moja yaani mbegu, mbolea, wachimbaji ,na madawa halafu ninafuga mbuzi wa kisasa nenda katafute wale mbuzi wanaozaa pacha mbuzi mmoja kima cha chini laki na nusu 150,000×6=900,000/= yaani mbuzi sita watano majike mmoja dume tengeneza banda la mbuzi la kawaida mpaka kufikia hapo utakuwa kama milioni 2,500,000 umetumia weka benki 1,000,000 ya kuangalia mradi unavyokwenda na marejeo ya mkopo 1,500,000 iliyobakia endelea na kilimo chako cha ufuta pamoja na kungalia mifugo yako inavyoendelea kukua!!!
Nina zaidi ya ekali 40,asante kwa ushauri kaka.
 
Samahani kwa kuuliza, hiyo hela umekopa kwa mtu au taasisi ??
Kama ni taasisi, ni ipi hiyo imekupa mkopo bila kujua unafanya kitu gani cha kuweza kufanya marejesho?
Na mimi nahitaji huo mkopo hata mil 3 [emoji1666]
Nina biashara nyingine mkuu ndio zimetumika kama dhamana.
 
[emoji2297][emoji2297][emoji2297][emoji2297][emoji2297][emoji2296][emoji2296] mil.5 ya mkopo mkuu unataka kuiweka kwenye kilimo na ufugaji

Sio kwamba havilipi!!

Vinalipa lakini ni kama unacheza bahati nasibu

Mimi sio mzoefu lakini ningekushauri kwenye hiyo hela tumia mil.1 pekee hiyo nyingine tafuta wazo la biashara utakalo liamini ufanye.


Humu kuna ule uzi wa waliochukua mkopo wakafanya ndivyo sivyo kama una muda upitie mkuu

Utakusaidia kupata japo mambo mawili matatu
Amechukua alime au afuge wewe unambadilishia plan.kwa nini?
 
Ndugu zangu nimekopa mil 5 sasa nilikua nataka kuingiza kwenye kilimo au ufugaji, hivyo naomba ushauri wenu kama ni kilimo nilime nini, kama ufugaji nifuge nini ili niweze kupata pesa ya haraka nimudu marejesho ya mkopo.

Naomba nikushauri,Anna n ufugaji wa kuku wa mayai, anza na vifaranga 100, mtaji ukikua endelea mwenyewe, kama una jiweza anza kwa kutotolesha badala ya kununua vifaranga bei itakuwa ni ndogo
 
Back
Top Bottom