Msaada katika hili la hukumu.

Msaada katika hili la hukumu.

el_magnefico

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2015
Posts
495
Reaction score
575
Hivi ni hatua zipi za kufuata pale ambapo mtu ameshindwa kesi katika baraza la kata na anapuuzia hukumu ya baraza hilo licha ya kushindwa kesi.Naombeni maelekezo katiko hilo
 
Hivi ni hatua zipi za kufuata pale ambapo mtu ameshindwa kesi katika baraza la kata na anapuuzia hukumu ya baraza hilo licha ya kushindwa kesi.Naombeni maelekezo katiko hilo
Mlishtakiana juu ya nn kaka
 
Back
Top Bottom