Kichaka12
JF-Expert Member
- Dec 11, 2018
- 300
- 263
Wakuu wanasheria natumaini mko poa.
Nilinunua pikipiki juma tano na niliambiwa kuwa kadi haijafika tukapewa chases number tukarudi. Jumamosi nikiwa safarini nikaambiwa dogo amegonga mtu na huyu dogo hana lesen. Kachukuliwa yeye na pikipiki yeye aliwekwa mahabusu then kuna mtu kaenda kumuwekea dhamana akatoka.
Sasa ni taratibu gani nichukue niipate pikipiki yangu kwa usalam?
Maana askali analazimisha kesi iende mahakamani na dogo aliyegonga na aliyegongwa wamekubaliana tu kuwa mgonjwa ahudumiwe ili mambo yasiwe mengi.
Kama kuna maelezo zaidi nitajibu naomba nisirefushe sana tread.
Natumaini nitasaidiwa.
Nilinunua pikipiki juma tano na niliambiwa kuwa kadi haijafika tukapewa chases number tukarudi. Jumamosi nikiwa safarini nikaambiwa dogo amegonga mtu na huyu dogo hana lesen. Kachukuliwa yeye na pikipiki yeye aliwekwa mahabusu then kuna mtu kaenda kumuwekea dhamana akatoka.
Sasa ni taratibu gani nichukue niipate pikipiki yangu kwa usalam?
Maana askali analazimisha kesi iende mahakamani na dogo aliyegonga na aliyegongwa wamekubaliana tu kuwa mgonjwa ahudumiwe ili mambo yasiwe mengi.
Kama kuna maelezo zaidi nitajibu naomba nisirefushe sana tread.
Natumaini nitasaidiwa.