Mwanaume hawezi kubakwa na mwanamke ,rape is a male offence,pia ili kuprove kwamba mwanamke hawezi kubaka angalia ingredients za kosa la rape that is actus reus na mens rea,mens rea ni consent na actus reus ni penetration however slight,mwanamke huwa hawezi kuingilia yeye ndie huingiliwa therefore mwanamke hawezi kubaka.