Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mamii tafuta... nadhani kuna law firms nyingi tu town na ushauri tu sidhani kama itakuwa that much cash! issue kubwa hapo ni bleach of contract na nafikiri still uko kwenye nafasi nzuri ya kuwa na case..Nimelinoti hilo mapema, ATA uandishi wake wakijanja janja sana, thanks !!!
Wakili gani una matusi hivyo? Labda wa mahakama ya wajingaNililaza Kweli hata mama wako anajua ninavyolaza
Thanks, umenipa moyo!!! Ngoja niwatafute!!!!mamii tafuta... nadhani kuna law firms nyingi tu town na ushauri tu sidhani kama itakuwa that much cash! issue kubwa hapo ni bleach of contract na nafikiri still uko kwenye nafasi nzuri ya kuwa na case..
Thanks, umenipa moyo!!! Ngoja niwatafute!!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wakili gani una matusi hivyo? Labda wa mahakama ya wajinga
Sio kijanja....kikanjanjaNimelinoti hilo mapema, ATA uandishi wake wakijanja janja sana, thanks !!!
Wa mahakama ya ndizi labdaWakili gani una matusi hivyo? Labda wa mahakama ya wajinga
Taja Roll No. Yako hapa kama kweli.Nililaza Kweli hata mama wako anajua ninavyolaza
umempa credit sana hata kumuhusisha na law school..Taja Roll No. Yako hapa kama kweli.
We Bush lawyer utakua ulidisco law school...sio siri
Pole sana yoga!Jamani Kuna mtu nilifanya nae biashara ya kuumuuzia gari ndogo akatoa fedha nusu na makubaliano kumaliza iliyobaki baadae, but, MDA umepita zaid ya miezi kadhaa kinyume na makubliano na ameanza viswahili,
Mkataba haujatekelezwa kama ulivyo pangwa
Je sheria inatoje msimamo wa MTU ka huyu!!!!
Mliuzianaje? Kishikaj au in writing?Jamani Kuna mtu nilifanya nae biashara ya kuumuuzia gari ndogo akatoa fedha nusu na makubaliano kumaliza iliyobaki baadae, but, MDA umepita zaid ya miezi kadhaa kinyume na makubliano na ameanza viswahili,
Mkataba haujatekelezwa kama ulivyo pangwa
Je sheria inatoje msimamo wa MTU ka huyu!!!!
If poccible WhatsApp mi 0713347432Jamani Kuna mtu nilifanya nae biashara ya kuumuuzia gari ndogo akatoa fedha nusu na makubaliano kumaliza iliyobaki baadae, but, MDA umepita zaid ya miezi kadhaa kinyume na makubliano na ameanza viswahili,
Mkataba haujatekelezwa kama ulivyo pangwa
Je sheria inatoje msimamo wa MTU ka huyu!!!!
Hapo inabidi mgekuwa na documents mlizosign wote ....though in law pia oral contracts zinakubalika as long ziwe na ingredients zote za a valid contractJamni, Is there any how naweza pata ushauri wa nafanya nini even if ni toolate
Sheria haipo hvyo kama unavyo dhan hata kama ur Faza hamjafany in terms of writing anakuruka so the important here is there any documentsKama ni workmate siyo issue, ameshabadili documents kwa jina lake?
Think twiceHapo hata akikudhulumu, kisheria huwezi kushinda. Omba Mungu awe mstaarabu akulipe
Acha uhuni,,Ni wakili ukinilipa vizuri gari yakau pesa zako zinarudi on the sport
WhatsApp ni nikupe lega advice 0713347432Nilikua nabadirisha gari , niliiuza kuongeza nkanunua nyingine yeye kabaki na iyo
Umewahi kufanywa uhuni weweAcha uhuni,,