MSAADA: Kila biashara ikianza kuchanganya nasimamisha kila kitu, nakuja kuzinduka wakati nimeshaharibu pakubwa

Nachojua kuna dawa za asili ambazo watu hupewa kuacha pombe maana kuna ndugu yetu alisumbua sana watu ila alipofikia hatua ya kuchezea kazi, watu ndio wakamuwinda kwa kumchanganyia kwenye "kinywaji" Ila akashtuka, so sijui ipo effective vipi maana hawakuwahi mdaka .. Labda Mshana Jr atachangia

Kuhusu maombi kuna levels, hata mimi tu sipo kiroho sana ila kuna watu wapo deep ambao wanaweza kukufundisha jinsi ya kusali na ukafanikiwa.

Pia naamini kama pombe inakutesa na unahangaika kuachana nayo kiasi hicho bila mafanikio. Aidha tayari una addiction ambayo si rahisi kuishinda au la, Kuna vitu vinakusumbua katika maisha yako na huwa unaitumia pombe kama escape.

Kumbuka brother, unapoamua kung'oa mti kwenye nyumba , huwezi kuondoa matunda, mashina na matawi yake huku ukiuacha mzizi maana bado utamea tu. Kwa hiyo kama pombe ni escape au impact ya kitu flani bhasi yenyewe sio tatizo ila kiini ni kile kinachokupelekea kunywa. Na usipopambana nacho bhasi pombe hutoweza kamwe kuiacha
 
Mkuu una mikosi nuksi na vifungo vinavyo kusababisha usiendelee kibiashara nitafute mimi kwa wakati wako ili niweze kukutibia upate mafanikio katika biashara yako.
 
Fact
 
Aisee Ahsante sana sana na Sana, nitaendelea kusoma uzi huu maana nateseka na najiona kabisa nateseka sababu huwa napata majuto makubwa Sana, Ukiendelea kupata mawazo mengine basi usichoke kuandika naamini ipo siku nitatimiza mwaka bila kunywa pombe, nikiweza hapo Basi Tena sitakunywa tena pombe kwenye maisha yangu. Ahsante sana
 
Matatzo yako ni mawili kwanza pombe na kuamini uchawi jitahd uachane nayo.
 
Ajiri mtu Kuna watu wengi wanatafuta sehemu za kujishikiza nankupata uzoefu mtu huyo sio lazima.umlipe saaana wengi tunaogopa kuaniri watu kumbe tunajibebesha kazi nyingi mpaka tunachoka Ni afadhali ofis Iwe wazi hata kama were upo bize ...lakininpia Ni Jambo la kiroho hilo lengo Ni kukurudisha nyuma Kuna msari fulani umecholewa usiuvuke ukitaka uuvuke tu lazima uzingue....you need blood of Jesus kuweka makbo sawa
 
Nipo kwenye process ya kuajiri mtu ahsante Sana kwa ushauri. Kuhusu hii ya kucholeshwa line nahisi nataka kuamini Ila nakuwa mzito sana sababu sitaki kuiweka kichwani, Ila naomba njia sahihi ya kuomba au kusali ili kuifuta hii line mkuu, Kama hutojari na unajua please share nami hata PM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…