Msaada: Kila nikivaa condom uume unasinyaa

Gia no 9 speed 180
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Aiseee hii n kali ya mwaka
Wana mbwembwe sana hawa watu
 
acha Punyeto. hilo tatizo asilimia 100 ni PUNYETO EFFECT
 
Pole mkuu.........nifuate pm nikupe ushaur .. Mimi hilo tatizo lilishawahi kunikuta... Lakini saiz mambo safi
 
Acha uzinzi, funga ndoa ufurahie tendo
 
Hizo ndom zitakuwa na jini mahaba ndani yake hataki ugegede.
 
Nadhani utakuwa na tatizo la kisaikolojia tu,au huyo demu wako mna ups and downs nyingi so mnafanya kutimiza wajibu tu hamna intimacy ya kutosha
 
Una ugonjwa uitwao "Condomiasis africana" jaribu kumwona daktari bingwa wa magonjwa ya kina baba akusaidie..usipo tatua hilo tatizo linaweza kukua na kuathiri sehemu za fahamu hivo kila demu ukikutana nae unapiga kavu hivo kupelekea mwili kuwa hatarin kupata magonjwa ambukizi....
 
Vaa zile za kike sijawahi.sikia wanapata hiyo shida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…