MSAADA: Kila siku naota ndoto nafanya mapenzi na wadada mbalimbali licha ya kuwa nimeoa

MSAADA: Kila siku naota ndoto nafanya mapenzi na wadada mbalimbali licha ya kuwa nimeoa

infinix2020

Member
Joined
Dec 30, 2020
Posts
76
Reaction score
150
Kila siku naota ndoto nafanya mapenzi na wadada mbalimbali naowafahamu, licha yq kuwa nimeoa mke mzuri tu na nafanya nae mapenzi mara 4 kwa wiki.

Je, hii shida nini chanzo chake na matibabu yake ni yapi.

Naomba kuwasilisha kwenu na mnisaidie.
 
Unahitaji zaidi msaada wa kiroho. Kama upo kwenye imani ya Kikristo basi inakupasa uwashirikishe viongozi wako wa kiroho wenye karama za uponyaji.
 
Hiyo ni ishara kwamba mke mmoja hatoshi hivyo tafuta mchepuko
 
Can imagine mwenzio anajua upo nae kumbe wewe unakula matunda kimasihara ndotonii
Anyway huenda MDA mwingi unatizama wada/wake za wenzio maeneo uwapo na kujenga picha ya kunako SITA kwa SITA utafanya mipozi mbali mbali
Hamuka tafta helaaa wadada wapoo siku zote
 
Jitambulishe vzuri kwanza, dini, umri, jinsia, mahali, elimu n.k hivi vyote vyaweza kuwa ni chanzo cha hilo tatizo. Ukinijibu hayo maswali vzur ni PM
 
Can imagine mwenzio anajua upo nae kumbe wewe unakula matunda kimasihara ndotonii
Anyway huenda MDA mwingi unatizama wada/wake za wenzio maeneo uwapo na kujenga picha ya kunako SITA kwa SITA utafanya mipozi mbali mbali
Hamuka tafta helaaa wadada wapoo siku zote
Hahahaaaa
 
Una jini mahaba
Anaweza kuchukulia comment yako kama masihara,lkn ukweli wengi inakuwa ni hivyo,anakujia na sura tofauti ukifikiri kuwa ni watu tofauti kumbe ni mmoja.Simama kwenye toba ya kweli,ingia kwenye maombi ya kudhamiria kuomba Mungu akuepushe na hizo roho,ikiwezekana hata uwe unafunga angalau mara moja kwa wiki kuombea hiyo roho ikuachie,kitakachofuata usipochukua hatua ndoa yako itakuwa na migogoro mingi na mwishowe usipoangalia ndoa itavunjika,uchumi wako utayumba,hakuna utakalofanikiwa kwenye maisha yako,na hata unaweza kujikuta magonjwa yanakuandama kila kukicha,chukua hatua...
 
Una jini mahaba
Wakati nipo Tanga School miaka ya 1980 huko,nilikuwa na jamaa ambaye wadada wa Korogwe Girls walikuwa wanamuita "handsome".
Jamaa alikuwa anapatwa na ndoto hizo za kufanya mapenzi sana na wadada tofauti tofauti.
Miaka 10 baadae watu wanaomfahamu jamaa wamerudi Tanga na kukutana na watoto wengi wanaofana vile vile na huyo jamaa.
Bahati mbaya jamaa alishatangulia mbele ya haki.
 
Wakati nipo Tanga School miaka ya 1980 huko,nilikuwa na jamaa ambaye wadada wa Korogwe Girls walikuwa wanamuita "handsome".
Jamaa alikuwa anapatwa na ndoto hizo za kufanya mapenzi sana na wadada tofauti tofauti.
Miaka 10 baadae watu wanaomfahamu jamaa wamerudi Tanga na kukutana na watoto wengi wanaofana vile vile na huyo jamaa.
Bahati mbaya jamaa alishatangulia mbele ya haki.
Mabinti hao walikuwa washirikina na walimtumia kisirikina
 
Back
Top Bottom