MSAADA: Kila siku naota ndoto nafanya mapenzi na wadada mbalimbali licha ya kuwa nimeoa

MSAADA: Kila siku naota ndoto nafanya mapenzi na wadada mbalimbali licha ya kuwa nimeoa

Anaweza kuchukulia comment yako kama masihara,lkn ukweli wengi inakuwa ni hivyo,anakujia na sura tofauti ukifikiri kuwa ni watu tofauti kumbe ni mmoja.Simama kwenye toba ya kweli,ingia kwenye maombi ya kudhamiri kuomba Mungu akuepushe na hizo roho,ikiwezekana hata uwe unafunga angalau mara moja kwa wiki kuombea hiyo roho ikuachie,kitakachofuata usipochukua hatua ndoa yako itakuwa na migogoro mingi na mwishowe usipoangalia ndoa itavunjika,uchumu wako utayumba,hakuna utakalofanikiwa kwenye maisha yako,na hata unaweza kujikuta magonjwa yanakuandama kila kukicha,chukua hatua...
Ujue sijataja kimasihara, jamaa ana jini mahaba kweli
 
Kila siku naota ndoto nafanya mapenzi na wadada mbalimbali naowafahamu, licha yq kuwa nimeoa mke mzuri tu na nafanya nae mapenzi mara 4 kwa wiki.

Je, hii shida nini chanzo chake na matibabu yake ni yapi.

Naomba kuwasilisha kwenu na mnisaidie.
Waza nini la kufanya kesho, fanya kazi kwa bidii, kula vizuri na mapema, lala mapema ukiwazia kazi za kesho. Muda wa mapumziko ukiwa na simu yako epuka kuiangalia picha za ngono. Ukiotacho ndio mawazo yako kwa wingi.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom