Samsung hatuna na wala hatuitambui hiyo simu wewe umeipataSamsung galaxy Note 21
Itakuwa Samsung ya mchongo hiyoKumekucha ndugu zangu msaada , maana nilishazoea kutumia hicho kipeni
Basi warudishie wenyewe.Sio ya mchongo mkuu nimeitoa kwa wenyewe kabisaa sijanunua kariakoo