Msaada kilimo cha hoho

Msaada kilimo cha hoho

Kwa ujuzi wako ni mbegu ipi nzuri ya hoho na je ukizipanda mwezi wa 11 soko lake linaweza kuwa zuri
 
Kwa yeyote anaye hitaji elimu kuhusu Kilimo cha pilipili Hoho nipigigie no.0745968314 nitakuelezea hatua moja mpaka mwisho
 
Kwa yeyote anaye hitaji elimu kuhusu Kilimo cha pilipili Hoho nipigigie no.0745968314 nitakuelezea hatua moja mpaka mwisho
Ungeweza msaidia yy na wengine wote kwa kuandika hapa hapa kila mmoja asome na aulize maswal ili uwasaidie wengi zaid
 
Wadau msiogope jua huku dar ukilima tandaza majani kitaalamu wanaita mulching, google FARMING GOD"S WAY then click enter site uone mapicha picha.
 
Mimi uzoefu wangu ni kwenye hoho
Shamaba kukodi sh 100000,mbegu 585000,kuandaa shamba 1250000 ,kupanda vibarua 60000,mafuta kumwagilia 240000,mbolea kupandia 60000,mbolea kukuzia 50000,Mbolea NPK 60000,Mbolea CAN 50000,madawa 250000,palizi 200000, Kijana wa kazi 300000 gharama hizi zinaweza kupunguwa ama kuongezeka kutegemea na mazingira ulipo na gharama hizi ni kwa mtu aliye na vifaa kama water pump mipira ya kumwagilia na pumps za kupulizia dawa NB KWENYE MBEGU BEI INAWEZA KUPUNGUWA MPAKA KUFIKIA TSH 40000 KUTEGEMEA NA AINA YA MBEGU GANI UTAPANADA
Hiii hesabu haiko sahihi
 
Bei ya kuuza hoho toka shambani ama ukipeleka sokoni inakaaje?!
Mwenye ufaham plzzz!
 
Ndg zang!! Napenda kuulizia kilimo cha hoho!! Je kinalipa na changamoto zake ni zipi!? Naomba kuwakilisha
 
Nahitaji connections ya soko zuri la hoho nipo arusha na kuanzia mwez November nitaanza kuvuna bdo sijawa na soko la uhakika.
 
Kichwa cha habari chahusu kilimo cha nyanya au hoho,mimi nataka kulima nyanya au hoho kipindi hiki(mwezi wa 9)je inafaa?niko moshi, pia mbegu gani nzuri inafaa itakayonitoa?naomba ushauri wenu wadau
 
Wadau wangu, ninatarajia kupata mtaji wa 2milion, nina wazo la kulima HOHO ekari 2, niko moshi, kwa wale wataalamu ni mbegu gani itanifaa?, na kwa 2ml naweza lima hizo ekari 2, kwa wale wazoefu ekari mbili inatoa kiasi gani cha roba, naombeni ushauri na mawazo mbadala, ahsanteni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom