the horticulturist
JF-Expert Member
- Aug 24, 2012
- 1,959
- 1,907
Pia lina hasara kubwa sana usiangalie faida pekee ,sababu ni zao la muda mfupi hii inapelekea liwe zao ambalo leo limeadimika na baada ya mwezi likawa jingi sana sokoni ,chunguza soko vizuri kisha ulime sio kusikia tu lina faida