Junior16
New Member
- Sep 9, 2021
- 4
- 1
Wadau wa JamiiForums habari zenu, Mimi Ni graduate engineer kwenye kozi ujenzi barabara na majengo ngazi ya Diploma, hivyo Ninaomba msaada wa kimawazo Kuna contractor ambaye alinisihii nimsajilie mwanae kampuni kutumia cheti changu na ya kwamba atanizingatia katika kazi kama engineer.
Naombeni mnisaidie kimawazo
Naombeni mnisaidie kimawazo