MSAADA KISAIKOLOJIA NINAANGAMIA

MSAADA KISAIKOLOJIA NINAANGAMIA

Kutojitambua naweza sema lakini nimepima hepatitis b zaidi ya mara 6 sijakutwa na maambukizi

We jasiri sana aisee, yaani unajua mtu ni HIV positive bado unashiriki nae...
 
Mleta mada mjinga kweli, anacomplicate mambo.
Watu kama wewe ndiyo wanaojiua kisa mapenzi.
Au labda una tatizo lingine tofauti na uliyoyataja hapo juu?
 
That was a big mistake I made, that is why najutuia kila wakati but kumbuka pia no one knows tomorrow so tusiwatenge
Ni kweli mkuu sijakataa,ila umewahi fikiria ingekuwa wewe na hayo matatizo,je angekuwa na wewe??
 
Mkuu kwanza now hutakiwi hata kidogo kuwa depressed,ungemshukuru mungu kukuepusha na hayo matatizo,cause now sijaona tatizo la kukufanya unung'unike
 
BADO UNA NAFASI YA KUACHA VYOTE NA KUANZA UPYA.....USIKATE TAMAA KABISA

JITATHMINI UPYA USIJIFUNGIE NDANI SIO SULUHISHO LA KUDUMU
 
MSAADA KISAIKOLOJIA NINAANGAMIA
Habari wakuu poleni na majukumu ya hapa na pale. Sijui hata nianzie wapi muweze kunielewa. Mimi ni kijana umri 26 muhitimu wa chuo kikuu kwa sasa nipo tu nyumbani sina ishu ya kufanya zaidi ya kulala tu ndani na kuishia kujilaumu sana kwa yaliyopita. Mnamo mwaka 2015 nilibahatika kupata mwenza kipind bado nasoma chuo ila kwa upande mwengine niliweza kuweka rehani maisha yangu kwani huyu mwenza wangu alikuwa anasumbulia na maradh ya ini pamoja na HIV. Sikupenda kumtenga nilijotoa kwa kila hari lakin mwisho wa siku niliambulia kibuti baada ya kuachana mwaka 2017 December ndipo nlipoingia kwenye matatizo makubwa sana kwani mitandao pia ilichangia kwa kiasi kikubwa sana kuniweka kwenye mawazo pale nilipokuja kugundua kwamba ugonjwa wa ini unaambukizwa hata kwa njia ya mate ndipo nlipokuwa na wasiwasi kila siku kwa kuhisi nimepata maambukizi lakini nilipopima mara mbili January na April sikuweza kukutwa na hayo maambukizi kwakweli bado nilikua na wasiwasi zaidi kwan kwa huu mwaka pekeyake nimepima HIV zaidi ya mara 10 lakini sikupata maambukizi. Kwa upande mwengine wa maisha yangu nkajikuta nimeingia kwenye mchezo mbaya sana ambao nimejitahidi sana kuacha lakin nashindwa mchezo wa PUNYETO kwani nimekuwa teja aliyekubuu. Hivi karibuni nilipata mwenzangu mwengine mnamo March 2018 turishiriki ngono kwa mara ya kwanza tangu nizaliwe nilijikuta nafanya oral sex na huyu binti mnamo April 2018 ntaanza kuona kama kuna mabadiriko kwenye kinywa changu pamoja na kuchoka mara kwa mara, tumbo kujaa gesi maumivu ya tumbo upande wa kulia karibu na mbavu, choo cheusi, tumbo kuunguruma, shingo kuuma kwa mbali katika hiyo hari nimefanya vipimo kama mkojo, choo kikubwa na full blood count lakini kwenye full blood count nimeenda hospital mbili tofauti wote wakidai nina bacteria infection na kuanza kutumia dawa za antibiotics lakn dariri ziko palepale huku nikiendelea na mchezo huu wa PUNYETO. Nikijaribu kugoogle nakutana na vitu ambavyo vinatisha mno nashindwa ambavyo ndivyo vimenipelekea mm kuwa mtu wa mawazo yasiyokuwa na mwisho. Ukigoogle utaambiwa cancer, ulcers, hepatitis, figo na magonjwa mengine makubwa makubwa kwakwel nateseka na msongo najihisi naumwa magonjwa yote haya kwani sina raha kabisa nimekuwa mtu wa kujifungia ndani na kujilaumu sana kwa niliyopitia. Naombeni ushauri wenu wa kuu kwan najiona kama nakufa kesho hivi
Mkuu vp usharud hospital maendeleo yako yakoje
 
Mkuu vp usharud hospital maendeleo yako yakoje
Yeah mkuu nimeanda nimekutwa na acid reflux pamoja na bacteria infection kwenye damu nimeandikiwa dawa za kunywa rabeprazole, clarithromycin na relcer gel ndio naanza leo mkuu
 
MSAADA KISAIKOLOJIA NINAANGAMIA
Habari wakuu poleni na majukumu ya hapa na pale. Sijui hata nianzie wapi muweze kunielewa. Mimi ni kijana umri 26 muhitimu wa chuo kikuu kwa sasa nipo tu nyumbani sina ishu ya kufanya zaidi ya kulala tu ndani na kuishia kujilaumu sana kwa yaliyopita. Mnamo mwaka 2015 nilibahatika kupata mwenza kipind bado nasoma chuo ila kwa upande mwengine niliweza kuweka rehani maisha yangu kwani huyu mwenza wangu alikuwa anasumbulia na maradh ya ini pamoja na HIV. Sikupenda kumtenga nilijotoa kwa kila hari lakin mwisho wa siku niliambulia kibuti baada ya kuachana mwaka 2017 December ndipo nlipoingia kwenye matatizo makubwa sana kwani mitandao pia ilichangia kwa kiasi kikubwa sana kuniweka kwenye mawazo pale nilipokuja kugundua kwamba ugonjwa wa ini unaambukizwa hata kwa njia ya mate ndipo nlipokuwa na wasiwasi kila siku kwa kuhisi nimepata maambukizi lakini nilipopima mara mbili January na April sikuweza kukutwa na hayo maambukizi kwakweli bado nilikua na wasiwasi zaidi kwan kwa huu mwaka pekeyake nimepima HIV zaidi ya mara 10 lakini sikupata maambukizi. Kwa upande mwengine wa maisha yangu nkajikuta nimeingia kwenye mchezo mbaya sana ambao nimejitahidi sana kuacha lakin nashindwa mchezo wa PUNYETO kwani nimekuwa teja aliyekubuu. Hivi karibuni nilipata mwenzangu mwengine mnamo March 2018 turishiriki ngono kwa mara ya kwanza tangu nizaliwe nilijikuta nafanya oral sex na huyu binti mnamo April 2018 ntaanza kuona kama kuna mabadiriko kwenye kinywa changu pamoja na kuchoka mara kwa mara, tumbo kujaa gesi maumivu ya tumbo upande wa kulia karibu na mbavu, choo cheusi, tumbo kuunguruma, shingo kuuma kwa mbali katika hiyo hari nimefanya vipimo kama mkojo, choo kikubwa na full blood count lakini kwenye full blood count nimeenda hospital mbili tofauti wote wakidai nina bacteria infection na kuanza kutumia dawa za antibiotics lakn dariri ziko palepale huku nikiendelea na mchezo huu wa PUNYETO. Nikijaribu kugoogle nakutana na vitu ambavyo vinatisha mno nashindwa ambavyo ndivyo vimenipelekea mm kuwa mtu wa mawazo yasiyokuwa na mwisho. Ukigoogle utaambiwa cancer, ulcers, hepatitis, figo na magonjwa mengine makubwa makubwa kwakwel nateseka na msongo najihisi naumwa magonjwa yote haya kwani sina raha kabisa nimekuwa mtu wa kujifungia ndani na kujilaumu sana kwa niliyopitia. Naombeni ushauri wenu wa kuu kwan najiona kama nakufa kesho hivi
Mkuu maana nami nashida hiyo kama yako tumbo kujaa gesi maumivu ya tumbo upande wakulia karibu na mbavu tumbo kuunguruma na kutoa gesi vp ulikwenda hospitali gani ukafanyiwa hivo vipimo nani vipimo gani ulifanyiwa na ulionana daktar gani ya magonjwa gani..maana umenbiwa umepewa dawa zakutumia..miniko mkoani nataka kuja dar kwa ajili ya matibabu..msaada wako mkuu kama hutajali
 
Vidonda vya tumbo vp hukukutwa navyo..nahayo masaratani uliokua unayasemea vp nayo
Nlipomueleza daktari shida zangu alimaua kunifanyia full blood count, kacheki na choo then ndio nkapata hayo majibu, kuhusu kansa hakucheki kabisa kwa jinsi nlivyomsimulia
 
Mkuu maana nami nashida hiyo kama yako tumbo kujaa gesi maumivu ya tumbo upande wakulia karibu na mbavu tumbo kuunguruma na kutoa gesi vp ulikwenda hospitali gani ukafanyiwa hivo vipimo nani vipimo gani ulifanyiwa na ulionana daktar gani ya magonjwa gani..maana umenbiwa umepewa dawa zakutumia..miniko mkoani nataka kuja dar kwa ajili ya matibabu..msaada wako mkuu kama hutajali
Nlifanyiwa full blood count pamoja na choo mkuu then ndio majibu yalitoka kama ilivyo hapo juu nlivyoeleza
 
Nlipomueleza daktari shida zangu alimaua kunifanyia full blood count, kacheki na choo then ndio nkapata hayo majibu, kuhusu kansa hakucheki kabisa kwa jinsi nlivyomsimulia
Full blood cout ndo inakuje hiyo
 
Nlipomueleza daktari shida zangu alimaua kunifanyia full blood count, kacheki na choo then ndio nkapata hayo majibu, kuhusu kansa hakucheki kabisa kwa jinsi nlivyomsimulia
Ulionana nadaktar aliespecialize ktk nin
 
Mbona unashindwa kujieleza ueleweke...ama elimu yako haijakusaidia kitu...ujui kufupisha habari...?
 
Back
Top Bottom