Indungu
Senior Member
- Nov 1, 2013
- 172
- 37
Wasalaam ndugu zangu,
Naomba kupata msaada au ushauri wa kisheria,
Kwa kifupi no kuwa ,kuna jamaa aligonga gari yangu kwa uzembe wake ikiwa imepaki, alisababisha uharibifu mkubwa sana kiasi kwamba gari haitengenezeki,
Serikali ilimkamata na kumfikisha mahakamani na kumkuta na hatia,akalipa faini akachiwa na mimi nikafungua kesi ya madai juu ya chombo changu kilicho haribiwa
Akadai bima italipa ukafanyika utaratibu,Ila bima wamelipa hela kidogo kulingana na bima tulizokatia kwenye gari zetu in third part,
Sasa je naweza kuendelea kumdai huyu jamaa aongeze kiasi ili kufikia malengo ya kiasi kinachotakiwa??
Man kesi bado iko mahakamani
Nitashukuru sana kwa ushauri wenu
Naomba kupata msaada au ushauri wa kisheria,
Kwa kifupi no kuwa ,kuna jamaa aligonga gari yangu kwa uzembe wake ikiwa imepaki, alisababisha uharibifu mkubwa sana kiasi kwamba gari haitengenezeki,
Serikali ilimkamata na kumfikisha mahakamani na kumkuta na hatia,akalipa faini akachiwa na mimi nikafungua kesi ya madai juu ya chombo changu kilicho haribiwa
Akadai bima italipa ukafanyika utaratibu,Ila bima wamelipa hela kidogo kulingana na bima tulizokatia kwenye gari zetu in third part,
Sasa je naweza kuendelea kumdai huyu jamaa aongeze kiasi ili kufikia malengo ya kiasi kinachotakiwa??
Man kesi bado iko mahakamani
Nitashukuru sana kwa ushauri wenu