Msaada kuacha tigo

Msaada kuacha tigo

Nikisema nianike kila kitu hapa jamvi ni dogo, nawashukuru sana wote mlionipa ushauri na wengine kunitukana na kuniita MALAYA, hadi nimejianika hapa juwen kuna tatizo. Hamumjui mume wangu yukoje na y niliingia huko kwenye uhusiano nikiwa ndani ya ndoa. Hakuna ajuaye alinifanya nini hadi nikatoka nje. Alichokifanya hakielezeki. Na huko kutiwa mara 3 sio kila siku. Kuna walioshangaa nimwambie dr nishindwe kumwambia ndugu , hospital ningepataje msaada bila kusema ukweli??? Mmenishambulia sana ila nimepata pa kuanzia. Hata mliofuta pole kwangu nawashukuru pia . Mimi si malaika nna mapungufu pia. Niliowakwaza kwa kuomba ushauri jf mnisamehe.

Ushauri wangu dada, kuwa wewe, unapokuwa hapa jamvini usiweke jambo kwa kufurahisha tu,
Hata kama una malengo hayo , bora uoneshe mapema tu, kwamba hili jambo nimweka kuchangamsha jukwaa.
Lakini leo unaongelea mchumba, kesho boyfriend, kesho kutwa mume na ndoa, watu watasindwa kukuelewa kabisaaaaaaaaa!!!!!
Na utakosa ushauri kwa sababu hiyo.

Hata hivo, unaye Mungu aliyekuumba kwa sura na mfano wake,
Yupo Mungu anayekupenda kuliko kitu/mtu yeyote hapa duniani,
Yawezekana ni kweli akili yako imefika mwisho wala hujui ufanye nini kuhusu hilo.
Lakini, pia Mungu hapendi wewe uteseke, tena uteswe na kiumbe ambacho na chenyewe kinaishi kwa neema ya Mungu.
Mi sipo kwenye ndoa, labda linaweza kunifanya nisielewe vizuri namna ya kukushauri, lakini yupo Mungu ambaye anatuwazia mawazo ya amani. Muombe Mungu, chukua ushauri wa watu, ule unaoona utakufaa, ufanyie kazi, na utafanikio.

Ninakuombea furaha, na amani ya moyo wako. Mungu akupiganie katika mapito yote hayo unayopitia, hatimae uwe mshindi.
Barikiwa.
 
Nikisema nianike kila kitu hapa jamvi ni dogo, nawashukuru sana wote mlionipa ushauri na wengine kunitukana na kuniita MALAYA, hadi nimejianika hapa juwen kuna tatizo. Hamumjui mume wangu yukoje na y niliingia huko kwenye uhusiano nikiwa ndani ya ndoa. Hakuna ajuaye alinifanya nini hadi nikatoka nje. Alichokifanya hakielezeki. Na huko kutiwa mara 3 sio kila siku. Kuna walioshangaa nimwambie dr nishindwe kumwambia ndugu , hospital ningepataje msaada bila kusema ukweli??? Mmenishambulia sana ila nimepata pa kuanzia. Hata mliofuta pole kwangu nawashukuru pia . Mimi si malaika nna mapungufu pia. Niliowakwaza kwa kuomba ushauri jf mnisamehe.

Mi nilikupa ushauri mzuri kuwa endelea kumpa Mr. maana taratibu utazoea maana bado unampenda mmeo.
 
Kweli huyu ni kibiritingoma... naomba niishie hapo
 
duh! makubwa kweli!
Ila siku hizi haya mambo ya tigo hayana wakubwa wala wadogo, tena zamani tulizowea kuyasikia visiwani, lakini siku hizi huku kwetu bara ndo yameenea, kwa ushahidi kabisa mimi ni mkubwa siko kwenye watoto, na nilishakutana na mkubwa mwenzangu, aliniuliza swali kama nitaweza kumpa tigo tukikubaliana kuoana?? nilimshangaa mana sikutegemea jinsi alivyokuwa akionekana mtu wa heshima.
Na alisema kabisa kuwa hawezi kufunga ndoa na mtu asiekubaliana na hilo mana atakuwa hajampenda bado, na kweli tulimalizia hapo nilipojibu siko tayari?:redfaces:
 
mmmmh!!!!!! Yaani akuoe ukiwa tayari kumpa huduma ya tigo???,
tutapona kweli gadhabu ya MUNGU kwa haya matendo yanayoendelea katka dunia hii???..
HAKIKA WATU WENGI WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA......
 
hana lolote huyu......anataka public sympathy......anadhani jf huwa tunasahau....watu hatusahau.....mpuuzi mkubwa
 
Nikisema nianike kila kitu hapa jamvi ni dogo, nawashukuru sana wote mlionipa ushauri na wengine kunitukana na kuniita MALAYA, hadi nimejianika hapa juwen kuna tatizo. Hamumjui mume wangu yukoje na y niliingia huko kwenye uhusiano nikiwa ndani ya ndoa. Hakuna ajuaye alinifanya nini hadi nikatoka nje. Alichokifanya hakielezeki. Na huko kutiwa mara 3 sio kila siku. Kuna walioshangaa nimwambie dr nishindwe kumwambia ndugu , hospital ningepataje msaada bila kusema ukweli??? Mmenishambulia sana ila nimepata pa kuanzia. Hata mliofuta pole kwangu nawashukuru pia . Mimi si malaika nna mapungufu pia. Niliowakwaza kwa kuomba ushauri jf mnisamehe.

Asante dada! kweli ni mengi. Ushauri mzuri unategemea na ukweli unaouongea. Ila nafikiri mie binafsi ulinikwaza kwa ku-post vitu vinavyochanganya. Ungekuwa straight toka mwanzo ingekuwa rahisi.
Nimekusamehe, ni kweli hakuna aliyemtakatifu, lakini isiwe excuse ya kuamua tu unavyotaka wewe.

Kutoka nje ya ndoa ni kosa siku zote, hata kama una sababu za kutetea. Ulimkosea mumeo hapo..

Hivyo hebu kwa vile hilo ni tatizo na linatakiwa kupatiwa ufumbuzi, nakushauri uchukue yaliyo mazuri humu ambayo yamekwisha andikwa na tutashiriki kuomba pamoja na wewe kwa Mungu upate pumziko la roho yako.

Ila unahitaji kurekebisha uhusiano wako na Mungu. Nenda ukatubu mbele za Mungu, Muombe akuongoze katika kipindi hiki, kwa sababu yeye ni muweza wa yote naamini ukinyenyekea mbele zake hawezi kukutupa mja wake. Mungu wako aliyekuumba anakupenda, tena sana.

Atakusamehe wewe na atamsamehe na mumeo pia na kuwapa maisha mapya. Usikimbilie kuvunja ndoa kwanza. Ila nenda popote uwezapo uwe mbali na mumeo wakati moyo wako unaendelea kupona na yeye Mumeo aweze kujipanga. Akishindwa tafuta wataalamu watakupa ushauri ulio bora zaidi.
Pole sana.
 
Kweli huyu ni kibiritingoma... naomba niishie hapo

hana lolote huyu......anataka public sympathy......anadhani jf huwa tunasahau....watu hatusahau.....mpuuzi mkubwa

Jamani yeye ni binadamu. Tumuoneshe wapi alikosea ili ajipange. Tayari ameshaona kosa lake, tumpe moyo kwamba anaweza kupata suluhu ya matatizo yake. Hakuna aliye perfect.
 
we Fidel ebu ichukulie hii inshu kiubinadam zaidi..mwenzio anaumia hadi kufikia kwenda hosp we unaongelea raha

Nyie mnataka kutenganisha ndoa ya mtu mwacheni baadae atazoea kibinadamu, mbona hata mbele wakati anaanza alikuwa anaumia sasa hivi kazoea.
 
Ushauri wangu dada, kuwa wewe, unapokuwa hapa jamvini usiweke jambo kwa kufurahisha tu,
Hata kama una malengo hayo , bora uoneshe mapema tu, kwamba hili jambo nimweka kuchangamsha jukwaa.
Lakini leo unaongelea mchumba, kesho boyfriend, kesho kutwa mume na ndoa, watu watasindwa kukuelewa kabisaaaaaaaaa!!!!!
Na utakosa ushauri kwa sababu hiyo.

Hata hivo, unaye Mungu aliyekuumba kwa sura na mfano wake,
Yupo Mungu anayekupenda kuliko kitu/mtu yeyote hapa duniani,
Yawezekana ni kweli akili yako imefika mwisho wala hujui ufanye nini kuhusu hilo.
Lakini, pia Mungu hapendi wewe uteseke, tena uteswe na kiumbe ambacho na chenyewe kinaishi kwa neema ya Mungu.
Mi sipo kwenye ndoa, labda linaweza kunifanya nisielewe vizuri namna ya kukushauri, lakini yupo Mungu ambaye anatuwazia mawazo ya amani. Muombe Mungu, chukua ushauri wa watu, ule unaoona utakufaa, ufanyie kazi, na utafanikio.

Ninakuombea furaha, na amani ya moyo wako. Mungu akupiganie katika mapito yote hayo unayopitia, hatimae uwe mshindi.
Barikiwa.

Asante!!
Kumbe una huruma hivyo?? lol
 
duuuh kwa hiyo mmesema inadumisha ndoa eeeh? tatizo lenu mnaandika sana bana
 
Hamjambo wana jamvi, nina hili tatizo ni miezi mitatu sasa. Mume wangu anataka tigo, ni mtu wa miraba minne ana kilo 110 ni mwanajeshi. Kuna siku akanitigo kwa nguvu, nililia sana nikashindwa hata kutembea. Sasa imekuwa kila baada ya muda fulan anataka tigo. Mpaka sasa kanifanya mara 3. Nimeenda hospital nikapata matibabu. Sasa ananitisha sana nimejaribu kumweleza kaka yake, kipondo nilichopata hakina mfano. Binafsi sipendi huu mchezo kabisa najua madhara yake. Kuniacha hataki. Naumia sana moyoni. Kuwaambia wazaz naogopa. Nisaidien mkakati wa kujitoa kwake au nikashtakije kwa wazazi. Naamin Jf ni sehem sahihi ya kupata michango ya kujenga.

Kwanza pole sana! Huyo jamaa hakupendi, anakaa nawe kwa hiyo tigo tu. Nadhani TZ zipo sheria na adhabu kwa wanaotigua/ wanaotiguana. Dada, usikubali unyanyasaji huu. Tafadhali nenda polisi (baadaye mahakamani) wala usione haya hata kama watahitaji vipimo kuthibitisha unayotendewa. Hapa sizungumzii uhalali wala uharamu bali unyama wa kulazimishana lile mtu asilotaka. Ukiendelea kumvumilia madhara yake utakuja kuyapata wakati wa ujauzito na kujifungua. Muepuke na muogope kama UKIMWI.
 
Nyie mnataka kutenganisha ndoa ya mtu mwacheni baadae atazoea kibinadamu, mbona hata mbele wakati anaanza alikuwa anaumia sasa hivi kazoea.

Fidel80, rudi kwa muumba wako haraka kabla ghadhabu zake hazijakuangukia. Hivyo unafikiri hiyo ndoa ipo tena?
 
Asante!!
Kumbe una huruma hivyo?? lol

Mpendwa nina huruma sana mwenzio,
Sema sasa habari kama hizi zinatukatisha tamaa ya kutamani kuishi na mwanaume,
Sasa Mpendwa sijui, unatushauri nini, sisi tunaotafuta wachumba.
 
Mpendwa nina huruma sana mwenzio,
Sema sasa habari kama hizi zinatukatisha tamaa ya kutamani kuishi na mwanaume,
Sasa Mpendwa sijui, unatushauri nini, sisi tunaotafuta wachumba.

Hongera sana!
ni kweli zinakatisha sana tamaa. yaani acha tu!
lakini ukijiuliza
1. mabasi ya kwenda mikoani kila siku yanaua watu. Lakini watu hawaachi kusafiri?
2. Ina Mungu aliyesema mtu ataacha baba yake na mama yake akaungane na mpenzi wake alikosea?

Ila mie ninaamini kama ukiwa mwaminifu na kweli unamtumainia Mungu, atakuletea watu wazuri tu. "Hatua za mtu mwema zaongozwa na Mungu" zab 37:23,
Wakristo tunaamini katika Roho Mtakatifu, (ambaye anatuongoza katika malisho yaliyo bora zab23)..pia mtu akiomba mkate kwa babake hawezi kupewa nyoka, zaidi sana kwa wale wanamuomba Mungu.. atawapa tu haja za moyo wao

Tatizo wengi wetu hatumuamini Mungu sana, au tunamlazimisha atuchagulie, au tunaona anachelewa sana au tunaomba abariki tuliokwisha wachagua. hivyo tunajiingiza tu kichwa kichwa.

Kimbembe honey moon ikiisha..mbona balaa??
 
Hongera sana!
ni kweli zinakatisha sana tamaa. yaani acha tu!
lakini ukijiuliza
1. mabasi ya kwenda mikoani kila siku yanaua watu. Lakini watu hawaachi kusafiri?
2. Ina Mungu aliyesema mtu ataacha baba yake na mama yake akaungane na mpenzi wake alikosea?

Ila mie ninaamini kama ukiwa mwaminifu na kweli unamtumainia Mungu, atakuletea watu wazuri tu. "Hatua za mtu mwema zaongozwa na Mungu" zab 37:23,
Wakristo tunaamini katika Roho Mtakatifu, (ambaye anatuongoza katika malisho yaliyo bora zab23)..pia mtu akiomba mkate kwa babake hawezi kupewa nyoka, zaidi sana kwa wale wanamuomba Mungu.. atawapa tu haja za moyo wao

Tatizo wengi wetu hatumuamini Mungu sana, au tunamlazimisha atuchagulie, au tunaona anachelewa sana au tunaomba abariki tuliokwisha wachagua. hivyo tunajiingiza tu kichwa kichwa.

Kimbembe honey moon ikiisha..mbona balaa??

Dah, asante kwa maneno haya, yameniongezea nguvu ya Imani,
Manake, habari kama hizi ni za kinefili kabisa ujue Mpendwa.
Dah, kama ulivyosema ni kweli Neema ya Mungu ni kubwa kwa wale wanaomtegemea.
Ubarikiwe,
 
Dah, asante kwa maneno haya, yameniongezea nguvu ya Imani,
Manake, habari kama hizi ni za kinefili kabisa ujue Mpendwa.
Dah, kama ulivyosema ni kweli Neema ya Mungu ni kubwa kwa wale wanaomtegemea.
Ubarikiwe,

Ubarikiwe na wewe pia.
Nadhani kila mtu anapenda kupendwa, angependa awe na partner mzuri( kwa wale ambao hawajaoa).
Lakini sasa haya magomvi na tamaa zilizopitiliza zinatoka wapi kama kweli hawa watu walipendana kabla ya kuamua kuishi pamoja??

Ni hapo tu, ndo neema ya Mungu inapoingilia kati, maana kumjua mtu sahii si kazi ndogo.
 
hapo hamna cha kujadili,, tigo is a sinful act..
 
Natumaini mu wazima week end hii,mi naomba mjadili hili swala la mapenzi kinyume cha maumbile(tigo)katika ndoa kwani katika mijadala mingi jambo hili hujadiliwa haswa linapokuwa nje ya ndoa lakini kuna watu walioko kwenye ndoa ambako jambo hili hutokea sana lakini halijadiliwi kwani watu huona kama vile si mahali pake vile!lakini ukweli ni kwamba lipo na wenzetu wazungu hulijadili waziwazi huku baadhi yao wakisema kufurahishwa sana na mchanganyiko wa tigo na ngono mbabadala kwenye ndoa zao na hili eti hudumisha penzi.Ebu wana jamii tulijadili hili kwa wenye maoni zaidi.Mi bado sijaoa hivyo naondoa swala la conflict of interest.

We una Laana wewe,EL MAJINUN,..EL SHAITWAIN
 
Natumaini mu wazima week end hii,mi naomba mjadili hili swala la mapenzi kinyume cha maumbile(tigo)katika ndoa kwani katika mijadala mingi jambo hili hujadiliwa haswa linapokuwa nje ya ndoa lakini kuna watu walioko kwenye ndoa ambako jambo hili hutokea sana lakini halijadiliwi kwani watu huona kama vile si mahali pake vile!lakini ukweli ni kwamba lipo na wenzetu wazungu hulijadili waziwazi huku baadhi yao wakisema kufurahishwa sana na mchanganyiko wa tigo na ngono mbabadala kwenye ndoa zao na hili eti hudumisha penzi.Ebu wana jamii tulijadili hili kwa wenye maoni zaidi.Mi bado sijaoa hivyo naondoa swala la conflict of interest.

ndugu umepitia chumba cha wageni? naona umejiunga jana unakuja na mada za tigo au ww mtu wa mombasa??????? watu wenye fikra za kufanya mambo haya sidhani kama wana akili njema na ni laana kubwa sana.wakumbuke laana ya sodoma na gomora, iliyopo ni kumwomba mungu aepushie mbali.shetani anafurahi na anashangaa manake tunafanya mambo ambayo hata yeye hajatuagiza tufanye.
 
Back
Top Bottom