Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,324
- 5,933
Ntakuchek inbox...Habari,
Ndugu wataalamu, ninaomba msaada wenu ninahali ya msongo wa mawazo inayopelekea kuumwa na kichwa, mwili kuwa na hali ya vichomi baridi, hali ya hofu, pia kuvurugika kwa hali ya kujisaidia haja ndogo.
kila nikijitahidi kupuuzia hii hali nashindwa je ni njia zipi zinaweza kunisaidia?
ahsanteni.
Unasumbuliwa na Anxiety disorder, ambayo mm nna mwaka wa3 inanisumbua ila naweza kuicontrol
humu kuna mada nyingi sana zinazohusiana na disorders tafuta mkuu utapata majibu
Saikolojia: Sababu zinazosababisha magonjwa ya akili ambazo wengi hawafahamu. (psychological disorder)Naomba unitumie hiyo link ya disorders plss
mkuu unaniongezea stress gharama wa kumuona dokta wa mambo ya ubongo sijui akili nitazimudu wapi??nenda hospitali kwanza
nimejitahidi saana kuachana na hizo stress lakini wapi nahisi hii ni impact ya hizo stress so naona zinanirudisha tena kule kule.Kama umeshajua tatizo ni msongo wa mawazo fikiria nini kinacholeta msongo huo upambane nacho. Proscribed medicines kwa matatizo hayo iwe ni hatua ya mwisho kuifuata kwani dawa mara nyungzinakufanya uwe deoendent on them.
nimekupata mkuu nashkuru kwa msaada wako.Ntakuchek inbox...
HAUNA BIMA KWANI MKUU?mkuu unaniongezea stress gharama wa kumuona dokta wa mambo ya ubongo sijui akili nitazimudu wapi??
bima ina limit mkuuHAUNA BIMA KWANI MKUU?
KWA HIYO ISHU YAKO INATATUAbima ina limit mkuu
kumbe stress yako ni kutokua na pesa...basi work on it....ongeza vyanzo vya mapato....mkuu unaniongezea stress gharama wa kumuona dokta wa mambo ya ubongo sijui akili nitazimudu wapi??
pesa nnazo za kuntosha tuu na maisha yangu mkuukumbe stress yako ni kutokua na pesa...basi work on it....ongeza vyanzo vya mapato....
uKWA HIYO ISHU YAKO INATATUA
sasa mbona hapo unalalamika gharama kama pesa sio tatizo...tena unasema zotakuongezea stress mana "utazimudu wapi"....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mkuu unaniongezea stress gharama wa kumuona dokta wa mambo ya ubongo sijui akili nitazimudu wapi??
hiyo stress ni ya vyuma tuuuuu....jiwe noma[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]pesa nnazo za kuntosha tuu na maisha yangu mkuu
🙄🙄 mhhhhhhsasa mbona hapo unalalamika gharama kama pesa sio tatizo...tena unasema zotakuongezea stress mana "utazimudu wapi"....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hiyo stress ni ya vyuma tuuuuu....jiwe noma[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]