Msaada: Kufanya kazi Jeshini au kuwa raia wa kawaida kipi bora?

Msaada: Kufanya kazi Jeshini au kuwa raia wa kawaida kipi bora?

Extroverted Introvert

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2022
Posts
599
Reaction score
1,565
Habarini ndugu zangu,

Kama jina “linavyo-display” hapo juu. Baada ya kuhitimu bachelor’s degree miaka kadhaa iliyopita na kusambaza CV ofisi mbali mbali, hatimaye mapema mwaka jana nilipata nafasi kama “intern” kwenye taasisi ya kiserikali (nalipwa 150,00Tsh kwa mwezi, posho zingine kama za safari na vikao) na ndipo nilipo mpaka wakati huu, na ninavyoandika uzi huu nipo ofisin nimetulia nasubiri muda wa kazi niendelee kuitumikia serikali yangu.

Recently, kuna nafasi imekuja ya kujiunga taasisi ya kijeshi (moja kati ya polisi, zimamoto na magereza) lakini kwa kutumia elimu ya form 4/form 6. Lakini kiuhalisia sina amani kabisa kufanya kazi huku. Napenda kufanya kazi niwe kama raia wa kawaida na kuendelea kutumia maarifa yangu niliyoyapata through my degree’s journey.

After these two scenarios, nimekwama kwenye maamuzi. Kama mnavyojua maisha mtaani magumu ila hatuchoki kutafuta, (1) natamani kuendelea na internship huku nikiendelea kusambaza CV (nafurahia taasisi za kiraia). (2) Natamani niingie huko kwenye “uaskari” ili niepuke hiki kikombe cha maisha magumu huku mtaani (sina amani kufanya sekta hizi). Ushauri tafadhali kwa wale wakongwe na wazoefu kwenye mambo haya ya ajira,

Pia ningetaka kujua je, baada ya kuingia huko kwenye “uaskari” naweza kuhama kama wengine wanavyohama kutoka ofisi moja kwenda nyingine (mfano kutoka uaskari kwenye TMDA, TBS, Halmashauri na taasisi zingine kama hizo)?

Changamoto niliyonayo: siko vizuri kwenye interviews (nimefanya nyingi) lakini naendelea kuji-expose kwenye maongezi mbalimbali na kujifua zaidi ili kutengeneza confidence, kujieleza na kujenga hoja.

Hitimisho: nimeleta uzi humu sababu kuna advisory experts, psychology specialists, HRs na watu wengine wenye uzoefu na mambo/changamoto kama hiyo.

Ahsante.​
 
Habarini ndugu zangu,

Kama jina “linavyo-display” hapo juu. Baada ya kuhitimu bachelor’s degree miaka kadhaa iliyopita na kusambaza CV ofisi mbali mbali, hatimaye mapema mwaka jana nilipata nafasi kama “intern” kwenye taasisi ya kiserikali (nalipwa 150,00Tsh kwa mwezi, posho zingine kama za safari na vikao) na ndipo nilipo mpaka wakati huu, na ninavyoandika uzi huu nipo ofisin nimetulia nasubiri muda wa kazi niendelee kuitumikia serikali yangu.

Recently, kuna nafasi imekuja ya kujiunga taasisi ya kijeshi (moja kati ya polisi, zimamoto na magereza) lakini kwa kutumia elimu ya form 4/form 6. Lakini kiuhalisia sina amani kabisa kufanya kazi huku. Napenda kufanya kazi niwe kama raia wa kawaida na kuendelea kutumia maarifa yangu niliyoyapata through my degree’s journey.

After these two scenarios, nimekwama kwenye maamuzi. Kama mnavyojua maisha mtaani magumu ila hatuchoki kutafuta, (1) natamani kuendelea na internship huku nikiendelea kusambaza CV (nafurahia taasisi za kiraia). (2) Natamani niingie huko kwenye “uaskari” ili niepuke hiki kikombe cha maisha magumu huku mtaani (sina amani kufanya sekta hizi). Ushauri tafadhali kwa wale wakongwe na wazoefu kwenye mambo haya ya ajira,

Pia ningetaka kujua je, baada ya kuingia huko kwenye “uaskari” naweza kuhama kama wengine wanavyohama kutoka ofisi moja kwenda nyingine (mfano kutoka uaskari kwenye TMDA, TBS, Halmashauri na taasisi zingine kama hizo)?

Changamoto niliyonayo: siko vizuri kwenye interviews (nimefanya nyingi) lakini naendelea kuji-expose kwenye maongezi mbalimbali na kujifua zaidi ili kutengeneza confidence, kujieleza na kujenga hoja.

Hitimisho: nimeleta uzi humu sababu kuna advisory experts, psychology specialists, HRs na watu wengine wenye uzoefu na mambo/changamoto kama hiyo.

Ahsante.​
Kwamimi ushauri wangu nakushauri fanya lililo mbele yako,fursa ya uaskari kama ipo ingia tu kwa kutumia cheti chako cha form 4 ama six mengine ya mbeleni utajakutana nayo ukouko mbeleni kama kuhama ama kutokuhama
 
Habarini ndugu zangu,

Kama jina “linavyo-display” hapo juu. Baada ya kuhitimu bachelor’s degree miaka kadhaa iliyopita na kusambaza CV ofisi mbali mbali, hatimaye mapema mwaka jana nilipata nafasi kama “intern” kwenye taasisi ya kiserikali (nalipwa 150,00Tsh kwa mwezi, posho zingine kama za safari na vikao) na ndipo nilipo mpaka wakati huu, na ninavyoandika uzi huu nipo ofisin nimetulia nasubiri muda wa kazi niendelee kuitumikia serikali yangu.

Recently, kuna nafasi imekuja ya kujiunga taasisi ya kijeshi (moja kati ya polisi, zimamoto na magereza) lakini kwa kutumia elimu ya form 4/form 6. Lakini kiuhalisia sina amani kabisa kufanya kazi huku. Napenda kufanya kazi niwe kama raia wa kawaida na kuendelea kutumia maarifa yangu niliyoyapata through my degree’s journey.

After these two scenarios, nimekwama kwenye maamuzi. Kama mnavyojua maisha mtaani magumu ila hatuchoki kutafuta, (1) natamani kuendelea na internship huku nikiendelea kusambaza CV (nafurahia taasisi za kiraia). (2) Natamani niingie huko kwenye “uaskari” ili niepuke hiki kikombe cha maisha magumu huku mtaani (sina amani kufanya sekta hizi). Ushauri tafadhali kwa wale wakongwe na wazoefu kwenye mambo haya ya ajira,

Pia ningetaka kujua je, baada ya kuingia huko kwenye “uaskari” naweza kuhama kama wengine wanavyohama kutoka ofisi moja kwenda nyingine (mfano kutoka uaskari kwenye TMDA, TBS, Halmashauri na taasisi zingine kama hizo)?

Changamoto niliyonayo: siko vizuri kwenye interviews (nimefanya nyingi) lakini naendelea kuji-expose kwenye maongezi mbalimbali na kujifua zaidi ili kutengeneza confidence, kujieleza na kujenga hoja.

Hitimisho: nimeleta uzi humu sababu kuna advisory experts, psychology specialists, HRs na watu wengine wenye uzoefu na mambo/changamoto kama hiyo.

Ahsante.​
Hiyo nafasi(Polisi,Magereza au Zimamoto)imekuja lini ndugu??maana Polisi na Magereza tayari wapo Depo na Polisi wanamalizia Depo wiki ijayo tarehe 26,Zimamoto nao wapo Depo,labda hizi za Magereza zilizotangazwa mwezi Juni ndio wataenda Depo mwezi ujao,anyway yote kwa yote maamuzi ni yako
 
Hiyo nafasi(Polisi,Magereza au Zimamoto)imekuja lini ndugu??maana Polisi na Magereza tayari wapo Depo na Polisi wanamalizia Depo wiki ijayo tarehe 26,Zimamoto nao wapo Depo,labda hizi za Magereza zilizotangazwa mwezi Juni ndio wataenda Depo mwezi ujao,anyway yote kwa yote maamuzi ni yako
Hauna lonja wewe shona tulia nakupa na kuna za uhamiaji sensa ikiisha tu hapo
 
Nenda kalitumikie jeshi kijana utaheshimika na kuamkiwa mpaka na wazee
 
Ingia kwanza mengine yatafata. Pata pa kula kwanza pa kulala patakuja
 
Nani kakwambia askari au jeshi huwezi ishi kiraia na ukiendelea na mapambano mengine. Ukatazwi kufanya ujasiliamali au kuitumia professional yako popote utakapo. Unaweza ukawa mwajiriwa huko na ukapiga mishe zingine mfano kilimo, kiwanda, ofisi yako yoyote mda wa off unasimamia
 
Kuhama serikali kuu na kuhamia taasisi au mamlaka yeyeto hakuna kinachoshindikana ni wewe tu speed yako plus connection zako.
 
Ingia kwanza jeshini amani itakuja ukishaanza pata mshahara
 
Kama una ndoto kubwa usiingie uaskari utajipiga kufuli ila kama unataka hela za matumizi tu kupay bills, kusomesha nk ingia uaskari but most important jitathmini unahitaji nini maishani mwako usiogope njaa saana kiasi kwamba utumie cheti cha form four wakati una degree subiri nafasi ya degree ikija utumie degree ili ufurahie matunda yako ya degree
 
Habarini ndugu zangu,

Kama jina “linavyo-display” hapo juu. Baada ya kuhitimu bachelor’s degree miaka kadhaa iliyopita na kusambaza CV ofisi mbali mbali, hatimaye mapema mwaka jana nilipata nafasi kama “intern” kwenye taasisi ya kiserikali (nalipwa 150,00Tsh kwa mwezi, posho zingine kama za safari na vikao) na ndipo nilipo mpaka wakati huu, na ninavyoandika uzi huu nipo ofisin nimetulia nasubiri muda wa kazi niendelee kuitumikia serikali yangu.

Recently, kuna nafasi imekuja ya kujiunga taasisi ya kijeshi (moja kati ya polisi, zimamoto na magereza) lakini kwa kutumia elimu ya form 4/form 6. Lakini kiuhalisia sina amani kabisa kufanya kazi huku. Napenda kufanya kazi niwe kama raia wa kawaida na kuendelea kutumia maarifa yangu niliyoyapata through my degree’s journey.

After these two scenarios, nimekwama kwenye maamuzi. Kama mnavyojua maisha mtaani magumu ila hatuchoki kutafuta, (1) natamani kuendelea na internship huku nikiendelea kusambaza CV (nafurahia taasisi za kiraia). (2) Natamani niingie huko kwenye “uaskari” ili niepuke hiki kikombe cha maisha magumu huku mtaani (sina amani kufanya sekta hizi). Ushauri tafadhali kwa wale wakongwe na wazoefu kwenye mambo haya ya ajira,

Pia ningetaka kujua je, baada ya kuingia huko kwenye “uaskari” naweza kuhama kama wengine wanavyohama kutoka ofisi moja kwenda nyingine (mfano kutoka uaskari kwenye TMDA, TBS, Halmashauri na taasisi zingine kama hizo)?

Changamoto niliyonayo: siko vizuri kwenye interviews (nimefanya nyingi) lakini naendelea kuji-expose kwenye maongezi mbalimbali na kujifua zaidi ili kutengeneza confidence, kujieleza na kujenga hoja.

Hitimisho: nimeleta uzi humu sababu kuna advisory experts, psychology specialists, HRs na watu wengine wenye uzoefu na mambo/changamoto kama hiyo.

Ahsante.​
Inategemea na Jeshi la nchi gani mkuu, kama ni la Tanzania jiunge tu ukale mtori ujenge kitambi Maisha yaende, lakini lingekuwa Jeshi la Congo, Afghanistan, US, Ukraine huko hakuna muda wa kujenga kitambi , na kufa muda wowote ni a real possibility.
 
mkuu nenda jeshini kwenye uhakika wa ajira kuliko huku mtaani kazi za kujuana baada ya jeshi utafahamiana na watu na itakuwa rahisi kurudi kwenye taasisi za kiraia

nenda jeshi mkuu,huku mtaani hakueleweki amani utaipata huko huko (jeshi si ndo walinda amani,utaipata huko)
 
Kweli kuna watu wameteseka mpaka wamekuwa sugu. Mpaka hapo unaomba ushauri?. Haya nakushauri " INGIA JESHI, AMANI YA MOYO UTAIPATIA HUKOHUKO UKIZOEA'
 
Habarini ndugu zangu,

Kama jina “linavyo-display” hapo juu. Baada ya kuhitimu bachelor’s degree miaka kadhaa iliyopita na kusambaza CV ofisi mbali mbali, hatimaye mapema mwaka jana nilipata nafasi kama “intern” kwenye taasisi ya kiserikali (nalipwa 150,00Tsh kwa mwezi, posho zingine kama za safari na vikao) na ndipo nilipo mpaka wakati huu, na ninavyoandika uzi huu nipo ofisin nimetulia nasubiri muda wa kazi niendelee kuitumikia serikali yangu.

Recently, kuna nafasi imekuja ya kujiunga taasisi ya kijeshi (moja kati ya polisi, zimamoto na magereza) lakini kwa kutumia elimu ya form 4/form 6. Lakini kiuhalisia sina amani kabisa kufanya kazi huku. Napenda kufanya kazi niwe kama raia wa kawaida na kuendelea kutumia maarifa yangu niliyoyapata through my degree’s journey.

After these two scenarios, nimekwama kwenye maamuzi. Kama mnavyojua maisha mtaani magumu ila hatuchoki kutafuta, (1) natamani kuendelea na internship huku nikiendelea kusambaza CV (nafurahia taasisi za kiraia). (2) Natamani niingie huko kwenye “uaskari” ili niepuke hiki kikombe cha maisha magumu huku mtaani (sina amani kufanya sekta hizi). Ushauri tafadhali kwa wale wakongwe na wazoefu kwenye mambo haya ya ajira,

Pia ningetaka kujua je, baada ya kuingia huko kwenye “uaskari” naweza kuhama kama wengine wanavyohama kutoka ofisi moja kwenda nyingine (mfano kutoka uaskari kwenye TMDA, TBS, Halmashauri na taasisi zingine kama hizo)?

Changamoto niliyonayo: siko vizuri kwenye interviews (nimefanya nyingi) lakini naendelea kuji-expose kwenye maongezi mbalimbali na kujifua zaidi ili kutengeneza confidence, kujieleza na kujenga hoja.

Hitimisho: nimeleta uzi humu sababu kuna advisory experts, psychology specialists, HRs na watu wengine wenye uzoefu na mambo/changamoto kama hiyo.

Ahsante.​
Of ni nafasi nzuri Mimi mwenyewe nataman sana ila mchawi connection tu aise
 
Back
Top Bottom