Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Vipi mkuu ulipata majibu? Nami nina shida kama yako.Shukran mkuu,,nawish nikae anipe tuition ya nguvu,,kuna project nataka kuanza kuifanya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi mkuu ulipata majibu? Nami nina shida kama yako.Shukran mkuu,,nawish nikae anipe tuition ya nguvu,,kuna project nataka kuanza kuifanya
Nimejibu juu,,nataka kuyapack kwa ajili ya biasharaYaan mim mwenyew sijapat jib
Sijapata mkuu,,Vipi mkuu ulipata majobu? Nami nina shida kama yako.
Tumia Nitrogen gas kwani huondoa oxygen content kwenye package na hivyo kuzuia viozeshaji vyote kwenye package na kuhakikisha freshness.Helow wakuu
Msaada,,nataka kujua namna ya kufanya vitafunwa vikae bila kuharibika kwa muda mrefu,vitafunwa kama maandazi ,,mfano kama yanayouzwa supermarket,,yanawekwa nini ili yasiharibike
Aksnte in advance
Mkuu shukrani,,naipata wapi hiyo??supermarket?haina madhara kwa walaji?Tumia Nitrogen gas kwani huondoa oxygen content kwenye package na hivyo kuzuia viozeshaji vyote kwenye package na kuhakikisha freshness.
Inapatikana wapi sifahamu ila ninadhani TOL watakuwa nayo. Matumizi yake ni kutokana na sifa zake nimapana mno kama preservertive na inatumika duniani kote.Mkuu shukrani,,naipata wapi hiyo??supermarket?haina madhara kwa walaji?
Wow,,shukrani,,ntaitafutaInapatikana wapi sifahamu ila ninadhani TOL watakuwa nayo. Matumizi yake ni kutokana na sifa zake nimapana mno kama preservertive na inatumika duniani kote.
Mkuu shukrani,,naipata wapi hiyo??supermarket?haina madhara kwa walaji?
Hahhahaa ,,haya aksante umenena vyemaUwe unayaanika juani kila siku kama mbilimbi.
Thanks mkuuYafunge kwenye mfuko, au weka kwenye chombo chenye mfuniko (container au ndoo)
Unanunua kwa mamantilieMi nanunua nakula siku ile ile sibakishi
Njoo nikulink naye, yupo Bukoba.Shukran mkuu,,nawish nikae anipe tuition ya nguvu,,kuna project nataka kuanza kuifanya
Weka katika fridge
Ila sina uhakika na hii njia
Zidisha cabonet na kandia mafuta
Mkuu hayo maandazi ya supermarket yanakaa hata mwezi na hayaharibiki. Yanatengenezwa viwandani (sio lazima iwe kiwanda kikubwa) kwa kutwanga unga wa ngano sana na kwa muda mrefu.
Ngano inapigwa mpaka inalainika sana.
Kuna ndugu yangu amesomea hii kazi na anaifanya vizuri, unakula andazi lainiii
Bicarbonate ikizidi inafanya vitu kuwa vichunguZidisha cabonet na kandia mafuta
Eeh kumbe ulitaka ya biashara? Nkajua matumizi ya nyumbani ndo maana nikakuambia weka kwenye container ufunike, poleNimejibu juu,,nataka kuyapack kwa ajili ya biashara