Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wana JF Naomba kwa anae fahamu anifahamishe kuhusiana na hii Facult ya Bachelor education with special needs, na ni wapi ambapo ajira zake zinakuwepo. Nawasilisha kwenu
unaomba kufahamishwa juu ya education of special needs (BdsN) au ajira? Kuwa wazi nikufahamishe mkuu.
ninachotaka kufahamu ni kuhusu hii facult mkuu na ni wapi ambapo unaweza kufanya kazi.
unaomba kufahamishwa juu ya education of special needs (BdsN) au ajira? Kuwa wazi nikufahamishe mkuu.
ninachotaka kufahamu ni kuhusu hii facult mkuu na ni wapi ambapo unaweza kufanya kazi.
Swali lako hujaliuliza vizuri,kama unataka kujua facult ofEducation with special needs ,utajibiwa vizuri na watumishi au wanafunzi waliosoma ktk facult hiyo sijui ni chuo kipi kwanza,ila kama unataka kujua kuhusu degree ya Education with special needs utasaidiwa na wengi.Facult na degree zinazotolewa kwenye facult husika ni vitu viwili tofauti.Sasa wewe unatakakujua kuhusu nini?
Swali lako hujaliuliza vizuri,kama unataka kujua facult ofEducation with special needs ,utajibiwa vizuri na watumishi au wanafunzi waliosoma ktk facult hiyo sijui ni chuo kipi kwanza,ila kama unataka kujua kuhusu degree ya Education with special needs utasaidiwa na wengi.Facult na degree zinazotolewa kwenye facult husika ni vitu viwili tofauti.Sasa wewe unatakakujua kuhusu nini
nataka kufahamu kuhusu hii kozi yaan hapa kwenye special needs ndo ninapohitaji kufahamishwa yaan nahitaji ufafanuz wa hii kozi
unaomba kufahamishwa juu ya education of special needs (BdsN) au ajira? Kuwa wazi nikufahamishe mkuu.
ninachotaka kufahamu ni kuhusu hii facult mkuu na ni wapi ambapo unaweza kufanya kazi.
Hiyo sio faculty, ni degree course/program, inahusiana na kufundisha/kuwa mkufunzi wa watu wenye mahitaji maalum/walemavu
Hiyo sio faculty, ni degree course/program, inahusiana na kufundisha/kuwa mkufunzi wa watu wenye mahitaji maalum/walemavu
asante mkuu nimekufahamu Mungu akupe moyo wa ku2saidia kila tunapokuwa tumetatizwa na jambo
Serikalini unaweza kupangiwa kuwa afisa elimu elimu maalum wa wilaya(special education officer) au kwenye vitengo vya shule vipo vingi ukagonge mayai huko au unaweza kuajiriwa kwenye ngos
Hiyo sio faculty, ni degree course/program, inahusiana na kufundisha/kuwa mkufunzi wa watu wenye mahitaji maalum/walemavu
asante mkuu nimekufahamu Mungu akupe moyo wa ku2saidia kila tunapokuwa tumetatizwa na jambo
karibu nitakupokea nipo hapo chuo,kwa maelezo zaidi juu ya chuo google sekuco utapata maelekezo yote!