Full charge
JF-Expert Member
- Mar 1, 2018
- 1,678
- 1,617
Habari za muda huu wakuu,
Mimi ni kijana kama vijana wengine wapambanaji,ila changamoto nayopata kuhusu uhifadhi wa pesa ni kubwa mno.
Nimefungua akaunti benki kadhaa ila nikipata shida kidogo naenda kutoa pesa achilia mbali makato yao hii hali inanifanya pia nitimize malengo kwa muda mrefu.
Moja ya changamoto zinazofanya nitoe pesa benki kwa shida ndogo ni mtu nayeishi nae hawezi kujikaza kama akijua nina pesa.
Sasa wadau naombeni mbinu,sifa na udhaifu wa fixed account ili nikiweka huko basi nikiulizwa pesa najitetea kuwa haiwezi kutoka mpaka limit of time🙏
Mimi ni kijana kama vijana wengine wapambanaji,ila changamoto nayopata kuhusu uhifadhi wa pesa ni kubwa mno.
Nimefungua akaunti benki kadhaa ila nikipata shida kidogo naenda kutoa pesa achilia mbali makato yao hii hali inanifanya pia nitimize malengo kwa muda mrefu.
Moja ya changamoto zinazofanya nitoe pesa benki kwa shida ndogo ni mtu nayeishi nae hawezi kujikaza kama akijua nina pesa.
Sasa wadau naombeni mbinu,sifa na udhaifu wa fixed account ili nikiweka huko basi nikiulizwa pesa najitetea kuwa haiwezi kutoka mpaka limit of time🙏