Msaada kuhusu gharama za fundi kujenga nyumba ya vyumba vitatu kuanzia msingi hadi kwenye beam

Msaada kuhusu gharama za fundi kujenga nyumba ya vyumba vitatu kuanzia msingi hadi kwenye beam

Nakushukuru mkuu KWA msaada wa mawazo.Nadhani kuna aina ya upigaji maana ameniambia tofari za msingi tu ni 1255
Ila alisema ameweka kujenga tofari moja 500 KWA sababu amekadiria ili gharama za msingi na zege la lintazipo ndani ya pesa hiyo
Duh mbona gharam itakuwa ndogo sana hivyo duh, hawa mafundi wetu sijui wanaishije aiseee
 
Mkuu ushauri wangu tafuta mafundi kama watano karibu na site wapeleke hapo kila mmoja na wakati wake,utapata uhalisia wa bei. Kuna ghorofa nilishaikuta sehemu hadi inatia huruma. Kumbe tajiri kaleta mafundi mkoa mwingine,hawajui udongo wa yale maeneo,full kulipua
Imagine Kuchimba, kujenga tofali, kukunja nondo, kutengeneza Formwork, kumwaga Zege mtu analipwa Chini ya Milioni 1 dah, life ni gumu sio poa
 
Kama unauhakika nakazi yake ongea nae akufanyie kunawatu wanafanya kwagharama ndongo lakini kunasiri ndani yahiyo nafuu
 
Imagine Kuchimba, kujenga tofali, kukunja nondo, kutengeneza Formwork, kumwaga Zege mtu analipwa Chini ya Milioni 1 dah, life ni gumu sio poa
Unashangaa kuna mafundi wanachukua tenda ya kujenga darasa kuanzia msingi mpaka finishing kwa3M.
 
Raia mnashindwaje kupiga hesabu za makadirio? Fatilizia hata kwa nyumba iliokwisha jengwa basi upate scale halafu kakae upige hesabu
 
Acha ubahili. Fundi anaejielewa hawezi kukujengea nyumba hiyo chini ya 3.5m.
Nilishajenga nyumba miaka nane iliyopita,hii itakuwa nyumba ya pili.Sijui KWA sasa gharama ikoje.Kuuliza sio ujinga na nyumba ya kwanza nilitumia tofari za kuchoma na hii nataka kutumia tofari za block.
Usiwe na akili za kukatisha tamaa au ulitaka hapa jukwaani tuulize nini basi?
 
Nilishajenga nyumba miaka nane iliyopita,hii itakuwa nyumba ya pili.Sijui KWA sasa gharama ikoje.Kuuliza sio ujinga na nyumba ya kwanza nilitumia tofari za kuchoma na hii nataka kutumia tofari za block.
Usiwe na akili za kukatisha tamaa au ulitaka hapa jukwaani tuulize nini basi
Nilishajenga nyumba miaka nane iliyopita,hii itakuwa nyumba ya pili.Sijui KWA sasa gharama ikoje.Kuuliza sio ujinga na nyumba ya kwanza nilitumia tofari za kuchoma na hii nataka kutumia tofari za block.
Usiwe na akili za kukatisha tamaa au ulitaka hapa jukwaani tuulize nini basi?

Nilishajenga nyumba miaka nane iliyopita,hii itakuwa nyumba ya pili.Sijui KWA sasa gharama ikoje.Kuuliza sio ujinga na nyumba ya kwanza nilitumia tofari za kuchoma na hii nataka kutumia tofari za block.
Usiwe na akili za kukatisha tamaa au ulitaka hapa jukwaani tuulize nini basi?
Acheni kuwalalia mafundi.
 
Nawasalimu wanajamvi wote,hongereni kwa majukumu ya kujenga taifa. Leo nimekuja kwenu kuomba ushauri ni kipino gani kinatumika kupata bei ya ujenzi wa nyumba?

Nimempata fundi aniinulie boma kuanzia msingi hadi kwenye hatua ya lenta,mahesabu yake aliyopiga ni shs 500 KWA tofari moja gharama itahusu pia kuchimba msimgi na gharama ya kumwaga zege la beam.

Je, wewe ulitumia njia gani kupataa gharama ya ujenzi? Nitashukuru sana lwa mchango wenu wa mawazo.

Baada ya kupiga mahesabu jumla imefika milioni laki saba
Mchina yeye analipa tofal moja sh 200 kujenga, kwaiyo yakuambiwa changanya na yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nawasalimu wanajamvi wote,hongereni kwa majukumu ya kujenga taifa. Leo nimekuja kwenu kuomba ushauri ni kipino gani kinatumika kupata bei ya ujenzi wa nyumba?

Nimempata fundi aniinulie boma kuanzia msingi hadi kwenye hatua ya lenta,mahesabu yake aliyopiga ni shs 500 KWA tofari moja gharama itahusu pia kuchimba msimgi na gharama ya kumwaga zege la beam.

Je, wewe ulitumia njia gani kupataa gharama ya ujenzi? Nitashukuru sana lwa mchango wenu wa mawazo.

Baada ya kupiga mahesabu jumla imefika milioni laki saba
Hongera kwa kujikusanyia fedha had hapo.

Kama hutojari , wasiliana na UVIMO ili tusaidiane kukotoa hesabu ikibidi utupe hyo kazi tukufanyie .

0753961896
0629361896
0753927572 wasap
 
Back
Top Bottom