Granite
JF-Expert Member
- Jul 6, 2016
- 268
- 624
Kama ni Dar utatumia kati ya 1.5m hadi 2m kukamilisha hiyo kazi kama fundi atakuwa mzuriAsante sana kwa ushauri ila nyumba ina mita 11 KWA 13
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni Dar utatumia kati ya 1.5m hadi 2m kukamilisha hiyo kazi kama fundi atakuwa mzuriAsante sana kwa ushauri ila nyumba ina mita 11 KWA 13
Duh mbona gharam itakuwa ndogo sana hivyo duh, hawa mafundi wetu sijui wanaishije aiseeeNakushukuru mkuu KWA msaada wa mawazo.Nadhani kuna aina ya upigaji maana ameniambia tofari za msingi tu ni 1255
Ila alisema ameweka kujenga tofari moja 500 KWA sababu amekadiria ili gharama za msingi na zege la lintazipo ndani ya pesa hiyo
Imagine Kuchimba, kujenga tofali, kukunja nondo, kutengeneza Formwork, kumwaga Zege mtu analipwa Chini ya Milioni 1 dah, life ni gumu sio poaMkuu ushauri wangu tafuta mafundi kama watano karibu na site wapeleke hapo kila mmoja na wakati wake,utapata uhalisia wa bei. Kuna ghorofa nilishaikuta sehemu hadi inatia huruma. Kumbe tajiri kaleta mafundi mkoa mwingine,hawajui udongo wa yale maeneo,full kulipua
Unashangaa kuna mafundi wanachukua tenda ya kujenga darasa kuanzia msingi mpaka finishing kwa3M.Imagine Kuchimba, kujenga tofali, kukunja nondo, kutengeneza Formwork, kumwaga Zege mtu analipwa Chini ya Milioni 1 dah, life ni gumu sio poa
Sawa MkuuUnashangaa kuna mafundi wanachukua tenda ya kujenga darasa kuanzia msingi mpaka finishing kwa3M.
Acha ubahili. Fundi anaejielewa hawezi kukujengea nyumba hiyo chini ya 3.5m.Fundi yupi tena? Nataka nipate uzoefu fundi wangu ndio kanipa hayo mahesabu na bado hatujafikia makubaliano..Binafsi naona mahesabu ni makubwa sana.
KWELI KABISA MKUUNyumba zinazojengwa Kiubahili hivi huwa hazidumu na ama huja Kuungua na Moto au Kusombwa na Mafuriko ya Mvua za Masika kama si zile za Kushtukizwa na TMA.
Nilishajenga nyumba miaka nane iliyopita,hii itakuwa nyumba ya pili.Sijui KWA sasa gharama ikoje.Kuuliza sio ujinga na nyumba ya kwanza nilitumia tofari za kuchoma na hii nataka kutumia tofari za block.Acha ubahili. Fundi anaejielewa hawezi kukujengea nyumba hiyo chini ya 3.5m.
[emoji28][emoji28][emoji28] anahisi mtaenda kukopi ramani yakeTatizo jamaa hataki kusema yupo wapi, kama vile anahisi ataibiwa kiwanja chake
Nilishajenga nyumba miaka nane iliyopita,hii itakuwa nyumba ya pili.Sijui KWA sasa gharama ikoje.Kuuliza sio ujinga na nyumba ya kwanza nilitumia tofari za kuchoma na hii nataka kutumia tofari za block.
Usiwe na akili za kukatisha tamaa au ulitaka hapa jukwaani tuulize nini basi
Nilishajenga nyumba miaka nane iliyopita,hii itakuwa nyumba ya pili.Sijui KWA sasa gharama ikoje.Kuuliza sio ujinga na nyumba ya kwanza nilitumia tofari za kuchoma na hii nataka kutumia tofari za block.
Usiwe na akili za kukatisha tamaa au ulitaka hapa jukwaani tuulize nini basi?
Acheni kuwalalia mafundi.Nilishajenga nyumba miaka nane iliyopita,hii itakuwa nyumba ya pili.Sijui KWA sasa gharama ikoje.Kuuliza sio ujinga na nyumba ya kwanza nilitumia tofari za kuchoma na hii nataka kutumia tofari za block.
Usiwe na akili za kukatisha tamaa au ulitaka hapa jukwaani tuulize nini basi?
Hapana . Wewe huwezi kunilipa mimiUlitaka nikupe wewe?
Mchina yeye analipa tofal moja sh 200 kujenga, kwaiyo yakuambiwa changanya na yakoNawasalimu wanajamvi wote,hongereni kwa majukumu ya kujenga taifa. Leo nimekuja kwenu kuomba ushauri ni kipino gani kinatumika kupata bei ya ujenzi wa nyumba?
Nimempata fundi aniinulie boma kuanzia msingi hadi kwenye hatua ya lenta,mahesabu yake aliyopiga ni shs 500 KWA tofari moja gharama itahusu pia kuchimba msimgi na gharama ya kumwaga zege la beam.
Je, wewe ulitumia njia gani kupataa gharama ya ujenzi? Nitashukuru sana lwa mchango wenu wa mawazo.
Baada ya kupiga mahesabu jumla imefika milioni laki saba
Hongera kwa kujikusanyia fedha had hapo.Nawasalimu wanajamvi wote,hongereni kwa majukumu ya kujenga taifa. Leo nimekuja kwenu kuomba ushauri ni kipino gani kinatumika kupata bei ya ujenzi wa nyumba?
Nimempata fundi aniinulie boma kuanzia msingi hadi kwenye hatua ya lenta,mahesabu yake aliyopiga ni shs 500 KWA tofari moja gharama itahusu pia kuchimba msimgi na gharama ya kumwaga zege la beam.
Je, wewe ulitumia njia gani kupataa gharama ya ujenzi? Nitashukuru sana lwa mchango wenu wa mawazo.
Baada ya kupiga mahesabu jumla imefika milioni laki saba