Uvimo Uvimo
New Member
- Jan 12, 2021
- 3
- 9
Nawasalimu wanajamvi wote,hongereni kwa majukumu ya kujenga taifa. Leo nimekuja kwenu kuomba ushauri ni kipino gani kinatumika kupata bei ya ujenzi wa nyumba?
Nimempata fundi aniinulie boma kuanzia msingi hadi kwenye hatua ya lenta,mahesabu yake aliyopiga ni shs 500 KWA tofari moja gharama itahusu pia kuchimba msimgi na gharama ya kumwaga zege la beam.
Je, wewe ulitumia njia gani kupataa gharama ya ujenzi? Nitashukuru sana lwa mchango wenu wa mawazo.
Baada ya kupiga mahesabu jumla imefika milioni laki saba
UVIMO ni jumuia ya mafundi ujenzi.
Shughuli zetu kuu ni ujenzi na umaliziaji nyumba.
Huduma zetu ziko katika fungate la
1-Ujenzi
2-Kupaua
3-Uselemara
4-Umeme
5-Magril na alminium
6-Kuchora na kusoma ramani..
Husuma zingine Ni
1-Kufanya fininishing za majengo aina yote
2-Kuchimba na kujenga mashimo ya maji na vyoo.
UVIMO tunapatikana Morogoro na Dar es salaam.
Tunafanya kazi nchi nzima :-
1-Tanzania bara
2-Tanzania visiwani (Pemba na Unguja)
UVIMO tukipata kazi kwa mteja wetu , kazi hukamilika kwa muda mfupi
Mawasiliano yetu ni
0753 961 896
0629 361 896
0753 927 572- Wasap