Msaada kuhusu gharama za fundi kujenga nyumba ya vyumba vitatu kuanzia msingi hadi kwenye beam


UVIMO ni jumuia ya mafundi ujenzi.
Shughuli zetu kuu ni ujenzi na umaliziaji nyumba.

Huduma zetu ziko katika fungate la

1-Ujenzi
2-Kupaua
3-Uselemara
4-Umeme
5-Magril na alminium
6-Kuchora na kusoma ramani..

Husuma zingine Ni
1-Kufanya fininishing za majengo aina yote
2-Kuchimba na kujenga mashimo ya maji na vyoo.

UVIMO tunapatikana Morogoro na Dar es salaam.

Tunafanya kazi nchi nzima :-
1-Tanzania bara
2-Tanzania visiwani (Pemba na Unguja)

UVIMO tukipata kazi kwa mteja wetu , kazi hukamilika kwa muda mfupi


Mawasiliano yetu ni
0753 961 896
0629 361 896
0753 927 572- Wasap
 
Ndugu karibu kuhesabu hiyo misingi iko mingapi ulafu uliza msingi utaenda chini kiasi kipi. Hapo utaelewa hiyo 150 ilio ongezeka itachimba msingi? Jihadhari naona hasara haiko mbali na wewe.
 
Ndugu jaribu kuhesabu hiyo misingi iko mingapi ulafu uliza msingi utaenda chini kiasi kipi. Hapo utaelewa hiyo 150 ilio ongezeka itachimba msingi? Jihadhari naona hasara haiko mbali na wewe.
 
Kama hiyo 500 kwa tofali moja ni pamoja na kuchimba msingi na umwagaji zege mpe iko sawa
 
Imagine Kuchimba, kujenga tofali, kukunja nondo, kutengeneza Formwork, kumwaga Zege mtu analipwa Chini ya Milioni 1 dah, life ni gumu sio poa
Ni kweli mkuu inasikitisha ila maisha ni magumu kuliko kuwa iddle bora hata upate kidogo japo kwa jasho jingi.

Natarajia kujenga nyumba ya vyumba 3 yenye square miter 95 kwa sh.800,000 tuu.
 
Nyumba zinazojengwa Kiubahili hivi huwa hazidumu na ama huja Kuungua na Moto au Kusombwa na Mafuriko ya Mvua za Masika kama si zile za Kushtukizwa na TMA.
Nawashahngaawengine bado wanamshauri ashushe bei
 
Wewe utakuwa mjenzi
 
Nakushukuru mkuu KWA msaada wa mawazo.Nadhani kuna aina ya upigaji maana ameniambia tofari za msingi tu ni 1255
Ila alisema ameweka kujenga tofari moja 500 KWA sababu amekadiria ili gharama za msingi na zege la lintazipo ndani ya pesa hiyo
Bei rahisi mno mkuuu
 
Sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…