Baba Rhobi
JF-Expert Member
- Nov 4, 2020
- 1,611
- 2,881
Wakuu wa Tech inakuaje....!?
Wakuu na amini tunatofautiana uwezo kimapato wapo wanaomudu gharama za kulipia AC nikiwa nacheki Youtube review za AC nakuta kwa 24Hrs ngoma imebeba Units kama 20 hivi hii ukizidisha na 300 ushee bei ya unit 1 mara 30 staki hata kujua jibu lake.
Kiukweli hizi fan hua hazipunguzi joto zinachofanya ni ku circurate ile ile hewa yenye joto.
Ndipo zinakuja hizi Air cooler vipi ambao mmewai kuzitumia vipi ufanyaji kazi wake ukoje...!?
Je ni kweli zenyewe walau zinapunguza joto make naona zenyewe zinatumia maji vipi mlo wai zitumia au nazo ni msala tu na Maskini tukimbilie wapi wakuu.
Wakuu na amini tunatofautiana uwezo kimapato wapo wanaomudu gharama za kulipia AC nikiwa nacheki Youtube review za AC nakuta kwa 24Hrs ngoma imebeba Units kama 20 hivi hii ukizidisha na 300 ushee bei ya unit 1 mara 30 staki hata kujua jibu lake.
Kiukweli hizi fan hua hazipunguzi joto zinachofanya ni ku circurate ile ile hewa yenye joto.
Ndipo zinakuja hizi Air cooler vipi ambao mmewai kuzitumia vipi ufanyaji kazi wake ukoje...!?
Je ni kweli zenyewe walau zinapunguza joto make naona zenyewe zinatumia maji vipi mlo wai zitumia au nazo ni msala tu na Maskini tukimbilie wapi wakuu.