ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Ni kweli yaani mda huu ndio inarudi hewani hata hawajaomba msamahaNawasalimu wote
Tafadhali naombeni msaada au ufafanuzi, leo tangu asubui jamii forum imegoma kufunguka kwangu
Nimehangaika sana kuzima simu na kuwasha, ku unstall app na ku install upya jaribu kila kitu ikashindikana. Mida hii nikapata wazo la kutumia vpn naona imefunguka ni nini kinaendelea, ni kwangu tu au kuna mtu mwingine kapata shida hii.
Mkuu kwangu mimi ndio inakuja hivyo, ila sio thread zote ni baadhi ya thread tu.Na nimeshai fanya update ila huu mzaha hauondokiView attachment 2774284
Waombe msamaha kwani unalipia ada ya kila mwezi!Ni kweli yaani mda huu ndio inarudi hewani hata hawajaomba msamaha
Mnawalipa hadi waombe samahani?Tatizo kubwa namna hii hawatoi taarifa wala kuomba radhi, viongozi wetu ni tatizo na sio serikalini tu.
Hujielewi mkuu au unqjitoa ufahamu?Mnawalipa hadi waombe samahani?
Siku hizi umekuwa mkorofi.Nikajua nimekula ban...
Nikajiuliza mbona Mimi sio mkorofi [emoji1787]
Ajabu naona notification ila siwezi kuingia...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Siku hizi umekuwa mkorofi.
Siwezi kujibu ujinga mkuu, kaa utafakati swali lako.Jibu swali
Nasoma comments zako, ulikuwa unatoa taarifa(breaking news), leo ni nguli wa ukorofi🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwanini?
Mimi kapole unanionea ujueNasoma comments zako, ulikuwa unatoa taarifa(breaking news), leo ni nguli wa ukorofi[emoji1787]
Ngoja tuendelee kuona mkuu😁😁Mimi kapole unanionea ujue
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe ndo umeongea ujinga! Unataka uombwe samahani kwa tatizo lililotokea kwenye App wakati ulipii hata 50. Na tatizo ni dogo halijadumu kwa muda mrefuSiwezi kujibu ujinga mkuu, kaa utafakati swali lako.
Sawa kiongozi!Wewe ndo umeongea ujinga! Unataka uombwe samahani kwa tatizo lililotokea kwenye App wakati ulipii hata 50. Na tatizo ni dogo halijadumu kwa muda mrefu