Msaada kuhusu jamii forum

Msaada kuhusu jamii forum

Nawasalimu wote
Tafadhali naombeni msaada au ufafanuzi, leo tangu asubui jamii forum imegoma kufunguka kwangu
Nimehangaika sana kuzima simu na kuwasha, ku unstall app na ku install upya jaribu kila kitu ikashindikana. Mida hii nikapata wazo la kutumia vpn naona imefunguka ni nini kinaendelea, ni kwangu tu au kuna mtu mwingine kapata shida hii.
Ni kweli yaani mda huu ndio inarudi hewani hata hawajaomba msamaha
 
Kwaupande wangu kuna baadhi ya thread hazitaki kufunguka, hasa kukwe majukwaa yangu pendwa (Jukwaa la michezo na International forum) hilo tatizo lina zaidi ya week sasa, sijui tatizo ni nini?

Moderator nifungulieni thread ya Manchester United, munanitesa sana.
 
Nikajua nimekula ban...

Nikajiuliza mbona Mimi sio mkorofi [emoji1787]

Ajabu naona notification ila siwezi kuingia...
 
Nimeweza kuingia dkk 5 zilizopita baada ya attempts nyingi toka asubuhi
 
Mimi shida kwangu ni notifications

Mara ya mwisho kama mnavyoona
Screenshot_20231007-142518.jpg
 
Back
Top Bottom