Lugoda lwa chuma
JF-Expert Member
- Mar 21, 2023
- 202
- 379
Habari zenu wakubwa!
Kama mada inavyo jieleza mimi nina miliki leseni ya daraja d. Ila nataka niongeze daraja mpaka e. Sasa nashindwa kuelewa natakiwa kwenda veta au n.I.T?
Na je kama ni veta, nikimaliza kozi ya basic truck driving naweza pata leseni daraja e? Na je naweza ajiriwa kama dereva wa lori pasipo kuwa na cheti cha H.G.V pale N.I.T?
Nawasilisha..
Kama mada inavyo jieleza mimi nina miliki leseni ya daraja d. Ila nataka niongeze daraja mpaka e. Sasa nashindwa kuelewa natakiwa kwenda veta au n.I.T?
Na je kama ni veta, nikimaliza kozi ya basic truck driving naweza pata leseni daraja e? Na je naweza ajiriwa kama dereva wa lori pasipo kuwa na cheti cha H.G.V pale N.I.T?
Nawasilisha..