TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
Habari yako mdau?
Kuna ndugu yangu anataka kubadiri namba za pikipiki yake ambayo ina zile za zamani za T 000 XXX na bahati mbaya kadi imepotea.
Kwa mwenye uelewa na hili la usajiri wakati kadi imepotea nini anaweza kufanya akapata usajiri mpya wa namba MC 000 XXX?
KY. Nawasilisha.
Kuna ndugu yangu anataka kubadiri namba za pikipiki yake ambayo ina zile za zamani za T 000 XXX na bahati mbaya kadi imepotea.
Kwa mwenye uelewa na hili la usajiri wakati kadi imepotea nini anaweza kufanya akapata usajiri mpya wa namba MC 000 XXX?
KY. Nawasilisha.