Msaada kuhusu kuhama shule A-Level (advance)

Msaada kuhusu kuhama shule A-Level (advance)

El khelafi

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2023
Posts
211
Reaction score
493
Wadau kama mnavojua selection zimetoka Jana na mdogo wangu amepangiwa huko Mbozi - Songwe shule ya Simbega.

Yaani ni mbali kutoka hapa na nauli yake ni kubwa. Huyu dogo kapiga sayansi vizuri, sema wamempanga HGE na hatuelew tufanye nini.

Kwahiyo wajuvi tusaidiane muongozo wa kuhama shule A-Level.
 
Wadau kama mnavojua selection zimetoka Jana na mdogo wangu amepangiwa huko MBOZI - SONGWE shule ya SIMBEGA yan ni mbali kutoka hapa na nauli yake ni kubwa Huyu dogo kapiga sayansi fresh sema wamempanga hge na hatuelew tufany nn kwaio wajumvi tusaidiane muongozo wa kuhama shule a-level
Neenda private kama unapesa ìla kwa mengine unapiteza tu mda.
 
Sasa 2 ya 20, science akasome comb ipii?? Unadhani waliompanga HGE ni wajingaa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom