I was married to a Tanzanian man who has been mistreating me so much and insulting me and even beating me up and chasing me out of his home, I decide to leave and I want to divorce him. I was married in RC church , talaka itakuaje sasa? siitaji ushauri penzi langu kwake hamna tena, please assist:sad:
Ndoa ya namna hiyo inaweza kuvunjwa na mahakama, baada ya kuridhika na madai utayopeleka. Ila si rahisi, labda kwa vile details zaidi unazo wewe, labda zitasaidia.
Kwa upande mwingine, si vizuri kuamua tu kuwa hutaki ushauri. Hata kama umewahi kupewa ushauri huko nyuma ambao hukukusaidia, haina maana hata leo huwezi kupata ushauri utakaosaidia kurudisha ndoa yako katika hali ya amani na furaha. Je mafundisho uliyopewa kanisani wakati unafunga ndoa uliyazingatia?
I was married to a Tanzanian man who has been mistreating me so much and insulting me and even beating me up and chasing me out of his home, I decide to leave and I want to divorce him. I was married in RC church , talaka itakuaje sasa? siitaji ushauri penzi langu kwake hamna tena, please assist:sad:
I was married to a Tanzanian man who has been mistreating me so much and insulting me and even beating me up and chasing me out of his home, I decide to leave and I want to divorce him. I was married in RC church , talaka itakuaje sasa? siitaji ushauri penzi langu kwake hamna tena, please assist:sad:
Alichokiunganisha Mungu mwanadamu asikitenganishe! (Mk. 10:9) Kama unamwacha kwa sababu ni mzinzi sawa lakini kwa habari nyinginezo utamfanya kuwa mzinzi akioa mke mwingine na wewe ukiolewa utakuwa unazini na huyo mume mpya! (Mt. 5:32.)
Mungu anafurahia ndoa kama mafuta yatiririkayo kwenye ndevu za haruni. Ila shetani anafanya juu chini kuhakikisha ndoa nyingi zinavunjika.
Inawezekana dada hao washauri wako wa mwanzo pia ni washabiki wa kutaka kuvunja ndoa yako. Chunga ndoa yako, au ukishindwa kabisa tafuta washauri makini uwaeleze matatizo yako.
I was married to a Tanzanian man who has been mistreating me so much and insulting me and even beating me up and chasing me out of his home, I decide to leave and I want to divorce him. I was married in RC church , talaka itakuaje sasa? siitaji ushauri penzi langu kwake hamna tena, please assist:sad:
Alichokiunganisha Mungu mwanadamu asikitenganishe! (Mk. 10:9) Kama unamwacha kwa sababu ni mzinzi sawa lakini kwa habari nyinginezo utamfanya kuwa mzinzi akioa mke mwingine na wewe ukiolewa utakuwa unazini na huyo mume mpya! (Mt. 5:32.)
Ni kweli mkuu,talaka ni halali imchukizayo mwenyezi mungu, hivyo tujizuie kutoa ushauri kufanikisha talaka kwani tutakuwa tunamchukiza mwenyezi mungu
mkuu hapo penye bold panahusika. ndoa ya kuogopa kutenganisha ni ile iliyounganishwa na Mungu tu na si vinginevyo. siku izi watu wanaunganishwa na mambo mengi sana kama pesa, uchawi, uongo nk. hapo huwezi kusema wameunganishwa na Mungu
kaka/dada hayo maandiko tu lakini hayaheshimiwi.
Huyo mtoa hoja amedai kwamba amefunga ndoa katika Kanisa la RC kwa hiyo nikadhani kwamba amemshirikisha Mungu! Sijui wewe mambo ya pesa, uchawi, uongo, nk unayatoa wapi?
kaka/dada hayo maandiko tu lakini hayaheshimiwi. Kunja ndoa inawezekana, Cha kufanya Huyu dada aende kwa padri amweleze kilichomsibu na pia aende kwa ustawi wa jamii, kabla ya mahakama, mahakama inataka uthibitisho kwa aliyefungisha ndoa kwa maelezo ya kueleweka yaliyotolewa both mume na mke, pia ustawi wa jamii unatia mkono wake kisha ndo aende mahakamani kwa kuvunja ndoa rasmi.
Ugumu uko kwa mapadre hawa ni ma Concevative acha kabisa kukubali ni issue, ukipata bahati akakubali basi mahakamani inakuwa issue ndogo, inatakiwa uwe na uwezo wa kukonvice mapadre other wise usubili kifo kiwatenganishe.
mapadre wana msimamo sijapata kuona. wagumu sana.
Hafu dada kama huhitaji kitu kwake amani tu, hakuna haja ya mahakama si usikae naye tu kila mmoja aishi kivyake kama anataka kuoa aoe au roho itakuuma, mi naona hata bila mahakama unaweza kumpiga chini, ukachukua hamsini zako na zake. Kwani atakushitaki au bado unampenda.
Hafu kwa nini huwa anakupiga? Hivi mtu anaweza kupigwa hivi hivi tu from no where? na wewe utakuwa mtata kiasi fulani.